Diamond anunua jumba kwa Tsh Bilioni 1 na kulifanya makao makuu ya Ofisi za Wasafi(WCB) nchini

Diamond anunua jumba kwa Tsh Bilioni 1 na kulifanya makao makuu ya Ofisi za Wasafi(WCB) nchini

Alikiba amenunuwa Sony ya ma billion na hataki mtuu ajuwe .. ukimuona anakuka zake bangi na mirungi huko kariakoo unamdharau tu alikiba ana mali nyingi kuliko domo
 
unajua bilion 1 kwa sasa tanzania ni nyumba za vile nne kabisa kwa sababu vifaa viko chini mno.
Mkuu umeiona ndani ukajua ina nakshi nakshi gani? au umejiridhisha kwa mandhari ya nje tu! nyumba ni nje na ndani...huyo dada yenu mange kawambia ngazi zake humo ndani gold plated...hajataja vyengine hapo!
 
Alikiba amenunuwa Sony ya ma billion na hataki mtuu ajuwe .. ukimuona anakuka zake bangi na mirungi huko kariakoo unamdharau tu alikiba ana mali nyingi kuliko domo
Tuoneshe sehemu ambayo Sony wamesema wameiuza Kwa Kiba..? Let's solid evidence...
 
Siamini yaani Diamond na familia yake wanavyopenda sifa ajenge nyumba hadi kufikia hapo tusijue? Labda kama kanunua
Kicha cha mada kanunua wewe unashangaaa kwamba amejenga!!!! Hivi watz nano katuloga?
 
Kwa bilioni moja na cement ilivyoshuka bei,muuzaji kapata faida mara dufu,

hiyo inafaa milioni 500-600


Exactly

And

Reasonable price.


Ukiiangalia kwa nje material Yake hiyoo nyumba imejengwa mda. Na thamani yake haiwezi fika bil moja. Ata kama iko full furnished.



Kuna watu nadhani hawajui maana ya bilioni moja.
 
Ni hatua nzuri sana kwa maendeleo ya muziki wao. Ila amini kwamba Ali Kiba ana ofisi kubwa mara 10 zaidi ya hiyo ila hapendi kujionesha onesha na kujikweza.
Hiyo ofisi yke itakua pale tabata chama alipopanga nyumba
 
Na john hana mpango wa kuiuza hiyo nyumba imekaa more than 4 yrs bila kukaliwa na mtu zaid ya walinzi inafanyiwa usafi tu,jamaa alikua anakuja kuichek then anasepa
John yuko ndani cnc lastyear kwa kesi ya ML na kama kuuza hiyo nyumba watanunua wapigaji wenzake mana ni nyumba ya thamani sana....chibu yke iko madale hiyo nyumba hana jeuri ya kununua
 
Ni hatua nzuri sana kwa maendeleo ya muziki wao. Ila amini kwamba Ali Kiba ana ofisi kubwa mara 10 zaidi ya hiyo ila hapendi kujionesha onesha na kujikweza.
Umenifurahisha sana na haka kausemi, huu usemi wanaelewa wachache sana[emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28]
 
Back
Top Bottom