Diamond anunua jumba kwa Tsh Bilioni 1 na kulifanya makao makuu ya Ofisi za Wasafi(WCB) nchini

Diamond anunua jumba kwa Tsh Bilioni 1 na kulifanya makao makuu ya Ofisi za Wasafi(WCB) nchini

Hapo ndio yatakuwa makao makuu ya Wasafi Radio and TV......
Mimi sikubaliani kabisa na Diamond kuwekeza hela kwenye hii biashara ya Tv na Radio bado nina doubt.
Lakini namtakia kila lenye kheri

Kwahiyo aendelee tu kuwekeza kwenye Mbunye?
 
Hongeraaaa sana hayo ndo maendeleo haswaa
 
Hakuna ukweli apoo.... nyie wabongo mnashoboka tuu... diamond awe na mjengo wa ivoo.. anavopenda sifa wakati anajenga siangejitangaza..... Sanukaa mnatoa udenda kwenye hamnaaaa

Vipi kama kanunua kwa mtu kama ya South Africa, ?
 
Ni hatua nzuri sana kwa maendeleo ya muziki wao. Ila amini kwamba Ali Kiba ana ofisi kubwa mara 10 zaidi ya hiyo ila hapendi kujionesha onesha na kujikweza.
sio kweli mwambie aonyeshe semeni ukweli tu
 
Hyo nyumba ni wamekodishaa..
Mkubwa fella kasema.. ila mondi anajua sana kuwakera wanaomchukia.. ili ufanikiwe unahitaji marafiki lakn ili ufanikiwe zaidi unahitaji maadui [HASHTAG]#FidQ[/HASHTAG]
 
Kuna watu wajuaji sana... Hiyo nyumba haijauzwa na haiuzwi.... Kupangisha unapangisha....
Kama ingekua yauzwa dia ageifanya makazi
Na john hana mpango wa kuiuza hiyo nyumba imekaa more than 4 yrs bila kukaliwa na mtu zaid ya walinzi inafanyiwa usafi tu,jamaa alikua anakuja kuichek then anasepa
 
safi sana kama kweli,
maana kuna ile hummer ya south hatujaona mpaka leo,pia nyumba ya south vp maana kwasasa hata mkienda kama hamjiamini hivi au zari kashafanya yake.
 
Ni hatua nzuri sana kwa maendeleo ya muziki wao. Ila amini kwamba Ali Kiba ana ofisi kubwa mara 10 zaidi ya hiyo ila hapendi kujionesha onesha na kujikweza.
Umeionaje kama hajaionesha???
Acheni jamaa aenjoy life....aliteseka kabla hajatusua so muacheni mana kila kitu kiba kiba
 
Iv kwa nini duniani kote, msanii ambaye hapendi kujionesha mafanikio yake ni ALLy KIBA tu? [HASHTAG]#team[/HASHTAG] kiba
 
Ni hatua nzuri sana kwa maendeleo ya muziki wao. Ila amini kwamba Ali Kiba ana ofisi kubwa mara 10 zaidi ya hiyo ila hapendi kujionesha onesha na kujikweza.
Basi sawa ila jitathimini akil zako zimejaa tope
 
Back
Top Bottom