Diamond anunua jumba kwa Tsh Bilioni 1 na kulifanya makao makuu ya Ofisi za Wasafi(WCB) nchini

Diamond anunua jumba kwa Tsh Bilioni 1 na kulifanya makao makuu ya Ofisi za Wasafi(WCB) nchini

Kwani mange kasemaje dada wa hide my id[emoji23][emoji23][emoji23] ile ya south mliaminishwa pia kapanga basi nahii kapanga na madale kapanga omo za team kibamia
 
Kiba Mbona ana ofisi kali zaidi ya hiyo Kitambo sana....... Sema tu hana makuu
Ofisi ni sehemu ya biashara, Kumbuka kuna msemo usemao Biashara ni matangazo, hapo ndipo mjue Diamond, hafuati anachofanya Ally Kiba. Ila nyie Mashabiki ndiyo mnataka huyu wafanane.
 
Ni hatua nzuri sana kwa maendeleo ya muziki wao. Ila amini kwamba Ali Kiba ana ofisi kubwa mara 10 zaidi ya hiyo ila hapendi kujionesha onesha na kujikweza.
Wweee kajinyee hukoo
Nachojua mm anamradi wake wa kuuza nguo zake za kiba 100 tu.
 
Back
Top Bottom