Miss Natafuta
JF-Expert Member
- Sep 16, 2015
- 27,031
- 49,928
KapangishaSiamini yaani Diamond na familia yake wanavyopenda sifa ajenge nyumba hadi kufikia hapo tusijue? Labda kama kanunua
Sio kiongoz, muundo hazifananiIko fresh hii nyumba ila kama naijua siyo ipo pale kijitonyama opposite na grandvilla, nakumbuka ilijengwa fasta saana kipindi icho ilikua kama sikosei mwaka 2009 - 2010.
Mmh ya kweli hayoKiba Mbona ana ofisi kali zaidi ya hiyo Kitambo sana....... Sema tu hana makuu
Hilo jumba lipo mbezi beach napafahamu vyema, kuna kipindi zilikua zinauzwa na nyingine kukodishwa zimejengwa muundo wa villa...Siamini yaani Diamond na familia yake wanavyopenda sifa ajenge nyumba hadi kufikia hapo tusijue? Labda kama kanunua
Ya kwake au kapanga?
GSM wako vizuri hongera Gharib
hahaaa watu wanapumbazwa mnoo aisee[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]mkuu akili za 2017 ameingia nazo 2018??
Hapo ndio yatakuwa makao makuu ya Wasafi Radio and TV......
Mimi sikubaliani kabisa na Diamond kuwekeza hela kwenye hii biashara ya Tv na Radio bado nina doubt.
Lakini namtakia kila lenye kheri
Nyumba ya kawaida sana ile mchoro ya miaka ya 47Nimeona pia nyumba yake aisee ila najiuliza jamaa why hata haoneshi
Si kaonyesha au kafanyaje.....alafu nyumba siyo lazima ujenge unaweza ukanunua iliyojengwa maana kuna watu wanajenga nyumba za kuuzaHakuna ukweli apoo.... nyie wabongo mnashoboka tuu... diamond awe na mjengo wa ivoo.. anavopenda sifa wakati anajenga siangejitangaza..... Sanukaa mnatoa udenda kwenye hamnaaaa
Ww ndo scoberHajanunua, iko rented
Anahusikaje apaali kiba muungwana sana hana mambo ya kitoto hata uvaaji wake bomba unyoaji wake ok hongera ali wewe ndio kioo
Ww ndo dalali au meneja maana unamjua diamond in n outJamani hii nyumba siyo ya diamond ila kapangisha kwa ajili ya ofisi ila kwa biashara ya tv mhh oprah alisalenda
Ww ndo mwenye izo nyumbaNyumba kapang ila haya mateam huwa yanakuwa machizi tu husifia hata wasichokijua
Ana ofisi ya wapi? Hana bidii,hana pesa ,hana kujiongeza ila saut anayo....Ni hatua nzuri sana kwa maendeleo ya muziki wao. Ila amini kwamba Ali Kiba ana ofisi kubwa mara 10 zaidi ya hiyo ila hapendi kujionesha onesha na kujikweza.