Steph Curry
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 5,936
- 4,707
hhhaahhaaaa...!!hakuna tusi jipya switiee...
we mrs ngosha tukana ukimaliza utalala!!
halafu mie km nadeal na watoto wa manispaa tatu tofauti.
watoto wa mbezi na wa vingunguti na deal accordingly..
tena wako kwenye pubert period,ashki majnuuni zimeawajaa!!
seuse wa hawa wa fake id's han'jui simjui..
hanipi presha mi atukane akimaliza tupa kwenye dustib life inasonga.
trh moja increament inapanda japo ndogo...!!
ila inatosha kwa bando la kumpigia promo aly k.....
wewe mimi najua ntakupata wapi!!
Mwenye gari huyo hapo
Kwan unatukanwa na nanii shoga maana SI gazeti hilii kwiii kwiiii kwiiiiiiiii
Haaaaaaa hiyo hiyo yanitosha tu mimi babe....
Shoga nimtetee wapi, Hapa nawacheka waliokuwa wanatulisha ndimu hapa...
Ndio maana nikasema aibu naona mimi maana ni balaa.
Unaropoka kitu halafu haipiti hata nusu saa unaumbuka vibaya!
Usikonde baee.
Hahahahaaa, sio wanawake wote bwana...hebu tutoe sisi wachache tunaojielewa.
Teh teh teh JF is never boring..
Tuliletewa picha za nyumba ya msanii hapa fensi ya nyumba za kale, garden imepigwa picha nyumba sijui iko Msumbiji huko, Choo cha ndani cha kukaa mguu wa kulia unakosa pa kuuweka (typically ni vyoo vya lodge/hotel), nyumba haijaisha ila inaonesha ina crakes za muda mrefu lakini alitetea ila leo anatukana Watanzania eti hawawezi kureason teh teh teh
Anyway gari si yake maana hata kule mabwepande anakokaa haiwezi kupita..
Mabebi wa bongo wamuige Zari,sio wao wanachuna tu
Huu ni msiba kwakweli, naanza kumkumbuka rafiki yangu mmoja dalali wa kuuza magari wadada mazuzu wanamwita tajili anabadirisha tu magari mwe! Akili ni Nywele Tajiri Mengi yupo na Voque yake kila siku halafu kidampa anayebadirisha GX 100 aziuze anaitwa tajili!! Asalamaleku wallahi.
ahahahahahahahahahahahaaaaaa!!!mbavu angu mie leooo!!!gari ni ya diamond we subiri uone!anapimia tu hapa haters aone wanavyotokwa povu.
Huu ni msiba kwakweli, naanza kumkumbuka rafiki yangu mmoja dalali wa kuuza magari wadada mazuzu wanamwita tajili anabadirisha tu magari mwe! Akili ni Nywele Tajiri Mengi yupo na Voque yake kila siku halafu kidampa anayebadirisha GX 100 aziuze anaitwa tajili!! Asalamaleku wallahi.