BansenBurner
JF-Expert Member
- Feb 16, 2015
- 6,810
- 5,773
ahahahahaaha chibu ni shidaaa mkuu!!yaani yamoto band kuiona tu ile gari wakasema ngoja tuitolee shooting mapema kabla haijaja bongo!!
Malimao leo yamefanya kazi kwa haters!!
Ninoma sana chibu huku wengine wakifanya na magari mabovu yy kawachukuliwa yamoto band Lambo haha