Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 94,296
- 122,540
inaonekana huko uliko ni jumapili leo.
Oh yeah?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
inaonekana huko uliko ni jumapili leo.
Tusisahau kumpigia kura Diamond MTV Africa kategori 3 mara ishirini kwa kila moja kila siku. Tuitangaze Tanzania yetu
http://mama.mtv.com/voting/
View attachment 260843
Eti tuna tafuta kiki hahahahahahahh kwa nani kwa new comers mliotukuta humu ambao mmepata fame kwa kujipendekeza kwa founders members wa JF hahahahahh
Fame yenyewe haina impacts zaidi ya umbea tu.
Kama nimekugusa sepa rudi gamboshi ukaendeleze na vikao vyenu vya kichawi mlugaluga.
Nani baba samira ha ha ha tatizo anachukulia mambo serious mnooo...ila ntammiss
Mkuu mimi hapa na famili yangu ya watu saba tumpigia kura wote zai ya 20..tunapenda kazi za huyu kijana..anajituma jamani sometimes tuache chuki na wivu wa KIKE.
Nmecheka hizo aina za shobo ha ha haahahahaa shobo mbinuko hasaa!!sasa mwanaume na neno chakubimbi wapi na wapi?
Jamani wewe apo usiseme hivooo....
ahahahaa shobo mbinuko hasaa!!sasa mwanaume na neno chakubimbi wapi na wapi?
WeraaawerAaaawapiidinnaaa...yaan naipenda jf jamanii inanipa raha mnooooo,
Yani tangu jana ni kucheka tu hadi bandama inahisi wivuyaan naipenda jf jamanii inanipa raha mnooooo,
Hayaaa kwenu jokate na wema changishen.basi zakina nanio via linnah.mumnunulie tmwetu.kamanda alikiba hata ka ...
Wewe mstaarabu ndo maana hata sikukuletea dharau. Huyo mjinga anajua kutukana tu yeye. Sasa huyo unamjibuje?mkaka/mdada kwanini usitumie tu lugha nzuri kujibu mashambulizi? charty usimjibu tena. tukipewa ban unadhani tunaweza kamilisha jukumu mbele yetu??akitukana mwambie asante sana leta lingine
Hahahahaha kwanini Kim.
Pamoja pamoja sie wa Tanzania halisi.
Hahahaaaa...wanaume wa panywa road haoo...