Diamond anyakua tuzo 3 zinazotolewa na Chomva 2014

Diamond anyakua tuzo 3 zinazotolewa na Chomva 2014

Na bado nyie endeleeni kumshangilia na kumpigia kelele mtu ambaye amumfanyi aingize hela ila mwamtia ujinga ajione yuko juu huku hata mia mfukoni hana
 
1417360352307.jpg
 
binadamu bwana yaan kuhongwa ahongwe yeye,kuacha aache yeye alafu kuumia aumie yeye
 
Jamani kafanya vizuri na kachukua tuzo and is gonna stay this way...
Channel o sio kama radio station za kina fulani BOOMSHAKA ni wazawa wa south africa but jana yule mwimbaji thembi seete alipopata award alisema tulisubiri sana for more than 10yrs for this award so ingekuwa upendeleo south africans artists wangekuwa wanashinda kila mwaka
Its time for us to learn to accept the results
Diamond kashinda tuzo 3
 
binadamu bwana yaan kuhongwa ahongwe yeye,kuacha aache yeye alafu kuumia aumie yeye

kinachomuuma ye starehe kung'aza kwny magazet ya shigongo sasa kuanzia kesho ye atakula likizo nafas kaiteka Zari
 
Back
Top Bottom