Dejane
JF-Expert Member
- Jan 1, 2014
- 50,587
- 71,492
Wema alisema kamwacha diamond,ila diamond hakuweka wazi kwamba wameachana,leo aliyemwacha mwenzake ndo anaumia
Sitaki natakaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wema alisema kamwacha diamond,ila diamond hakuweka wazi kwamba wameachana,leo aliyemwacha mwenzake ndo anaumia
Sitaki natakaa
Wakati akihongwa BMW na kupigwa nyapu anaona raha
Kumlinganisha Almasi na Ally ni sawa na kulinganisha Bahari na Mfereji
Kumlinganisha Almasi na Ally ni sawa na kulinganisha Bahari na Mfereji
Huyu zari ni mwarabu?
huku kwa mondi kashasanda inabidi aelekeze nguvu zake kushindana na kina barnaba
Usilazimishe maoni yako ndio uwe ukweli...
binadamu bwana yaan kuhongwa ahongwe yeye,kuacha aache yeye alafu kuumia aumie yeye
Ajirudishee tu