Sasa yeye kuanza na kutoanza inamuathiri nini wakati yeye ni Msanii Mkubwa mwenye Influence?Msanii Nasib Abdul, also known as Diamond Platinumz ameondoka uwanjani kwenye tamasha la Furaha Festival bila kutumbuiza baada ya kutokuwa na maelewano kati ya uongozi wake na waandaaji wa Tamasha hilo.View attachment 3171895
Diamond alikuwa anafata makubaliano ya muda wa kupanda jukwaani haijalishi nani kapangiwa kupanda muda huo sababu ana ratiba nyingi na kila muda wake watu wameulipia mamilioni ya pesa.Sasa yeye kuanza na kutoanza inamuathiri nini wakati yeye ni Msanii Mkubwa mwenye Influence?
Au kulikuwa na mashindano Ya kura hapo?
Mnapenda kujipa thamani ambayo haipoKwa hiyo muda wake wa kutumbuiza ulipofika ukaingiliana na muda wa huyo underground wa Kenya, so ilibidi muandaaji achague diamond apande jukwaani au aondoke aendelee na ratiba nyingine sababu baada ya show alikuwa anasubiriwa na ndege kwa ajili ya kuenlekea Paris kwenye ratiba nyingine.
😀😀😀kivipiDiamond ni kati ya watu wenye roho mbaya sana, hata kama kakuzidi kila kitu.
Huwa wanasema, 'Raha jipe mwenyewe'.Mnapenda kujipa thamani ambayo haipo
Hii Wakora ina maana gani😅Huwa wanasema, 'Raha jipe mwenyewe'.
Heshima yako unaijenga mwenyewe...wakenya ni wakora balaa.
Diamondi ameshangaa Kuona Watu Hawamnyenyekei kama huku Bongo.Huwa wanasema, 'Raha jipe mwenyewe'.
Heshima yako unaijenga mwenyewe...wakenya ni wakora balaa.
Hiyo ndege iliyokuwa inamsubiri alikuwa amekodi impeleka Paris?Diamond alikuwa anafata makubaliano ya muda wa kupanda jukwaani haijalishi nani kapangiwa kupanda muda huo sababu ana ratiba nyingi na kila muda wake watu wameulipia mamilioni ya pesa.
Kwa hiyo muda wake wa kutumbuiza ulipofika ukaingiliana na muda wa huyo underground wa Kenya, so ilibidi muandaaji achague diamond apande jukwaani au aondoke aendelee na ratiba nyingine sababu baada ya show alikuwa anasubiriwa na ndege kwa ajili ya kuenlekea Paris kwenye ratiba nyingine.
Hizo propaganda za wakenya kuwa alitaka kupafomu kabla ya huyo artist sababu atafunikwa ni propaganda zilizofeli kama walivyoandaa watu wamzomee lakini hakuonrkana stejini
Mtajuana wenyewe sisi hayatuhusuWaafrika wanapenda kuleta mchezo mchezo kwenye mambo ya kazi. Jambo lolote usipozingatia muda lazima liharibike, walichofanya wakenya ni ukiukaji wa makubaliano na madharau. In short pesa waliyolipa imeenda kama wanabisha waongee na mwanasheria
Masharti ya fuvuSasa yeye kuanza na kutoanza inamuathiri nini wakati yeye ni Msanii Mkubwa mwenye Influence?
Au kulikuwa na mashindano Ya kura hapo?
Mtajuana wenyewe sisi hayatuhusu
Mtajuana bwanaYanakuhusu ndio maana umeleta matako yako humu.
Kwamba lazima aanze yeyeMasharti ya fuvu
Mtajuana bwana
Shida watu weuse hawafuati makubaliano, tumekubaliana muda flan diamond anapanda, mda umefika mnaanza ooh sjui mashabiki wanamtaka willy kwanza.
Hapo jamaa hana kesi