- Thread starter
- #61
Naona Kama umepanic hiv utakuwa mshabiki wa kiba Nini?amemwakilisha nani? Labda ww hayo ni mambo yake apana kuinclude wote sawa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naona Kama umepanic hiv utakuwa mshabiki wa kiba Nini?amemwakilisha nani? Labda ww hayo ni mambo yake apana kuinclude wote sawa
nimepanik ndio 7bu unainclude wote asa mtu kaenda na hamsini zake asa inatuhusu nn?Naona Kama umepanic hiv utakuwa mshabiki wa kiba Nini?
Sasa Alikiba kacheza ad mpira na ana Balon dor kabisa..ila hapendi kujionyesha ndio maana alienda kucheza costal union wakati alisajiliwa Real madrid
Kama haikuhusu unakujaje huku kucommentnimepanik ndio 7bu unainclude wote asa mtu kaenda na hamsini zake asa inatuhusu nn?
Huyu mama anamjua Diamond au anamuona ona tu?Huu mwaliko ni official.
View attachment 1379571
January 2020 wakati wa utoaji tuzo za CAF.Diamond alikuwa mmoja wa watumbuizaji hapo ndipo connection ilipopatikanaHuyu mama anamjua Diamond au anamuona ona tu?
Lakini hata kiba kishafika sana hapo enzi za Blatter ila hapendi show off
Kwa ninavyomjua Diamond,atamtafuna tu huyu mama,na akishaingiza domo lake chumvini mama hatoki,utasikia kombe la dunia limehamishiwa Tanzania sababu ya coronaJanuary 2020 wakati wa utoaji tuzo za CAF.Diamond alikuwa mmoja wa watumbuizaji hapo ndipo connection ilipopatikana
View attachment 1382288View attachment 1382289
Huyo mama ni mtu Smart sana kishashika vyeo vingi vikubwa dunia hawezi kufanya upuuzi huo.Yy ana appreciate kazi zake Diamond basi na si vinginevyo.Kwa ninavyomjua Diamond,atamtafuna tu huyu mama,na akishaingiza domo lake chumvini mama hatoki,utasikia kombe la dunia limehamishiwa Tanzania sababu ya corona
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] khaaaaaaah weeee mkuuuh, yaaan nmechekaaaa Hadi mbavu zinauma uwiiiiiiiiih lolKwa ninavyomjua Diamond,atamtafuna tu huyu mama,na akishaingiza domo lake chumvini mama hatoki,utasikia kombe la dunia limehamishiwa Tanzania sababu ya corona
Starehe wewe umaita uppuuzi?Huyo mama ni mtu Smart sana kishashika vyeo vingi vikubwa dunia hawezi kufanya upuuzi huo.Yy ana appreciate kazi zake Diamond basi na si vinginevyo.
yooo & tembo wakiona habari hizi wanatamani kulia bt wanajikaza kiume tu
Oksijeni ana vuta kila mtu hapa tunazungumzia ACHIEVEMENT bibie , Messi ameachive bilionea na shabalala ameachieve shilingionea
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]zote hela
Aiseee Nyie ndo mnaoabudu binadamu wenzenu
Kwa ninavyomjua Diamond,atamtafuna tu huyu mama,na akishaingiza domo lake chumvini mama hatoki,utasikia kombe la dunia limehamishiwa Tanzania sababu ya corona
Wanamuhofia..wanampenda kwa ndani Kila hawataki jionesha..afu mwana hadeal na upuuzi ye kimyaaaaaaa #TABIAZAKIUME[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
Huyu jamaa huwa mnamuandama sana.
Na anatakiwa apewe TUZO kwa hilo nalo kamfunika ALIKIBA ila hawasemiKuna jamaa kanichesha jana, eti anampa Big up Diamond halafu anamwita King of single mothers
Na wewe SENTIONEANaam lakini huyu Messi Bilionea yule shabalala shilingionea