Diamond apewe shule ya kuimba kwa English na Harmonize

Diamond apewe shule ya kuimba kwa English na Harmonize

Muziki ni hisia zako tu. Hakuna cha lugha wala nini... Yousu Ndour wa Senegal kapiga muziki kwenye majukwaa makubwa duniani kwa lugha yake ya huko Senegal.. Hayati Miriam Makeba alichukua Grammy kwa lugha ya kwao... pita nchi za SADC & EAC ukute watu wengi hawajui kiswahili lakini wanasikiliza nyimbo zote za Mboso. Wacongo walikuwa wanatamba dunia nzima miaka ya nyuma huku wengi wetu hatujui Lingala. MUSIC IS A UNIVERSAL LANGUAGE
 
Yu go bast mayi medula
A go dai fo yu ma babe

Seriously?
.
FB_IMG_1583385369264.jpg
 
Katika Nchii ya Tanzania linapokuja suala la muziki na wanamuziki wanaweza Kuimba nyimbo Kwa kizungu nadhani harmonize ni mmoja wa wasanii hao, ameweza kutoa hit song nyingi alizoimba kizungu kuliko hata msaniii namba Moja wa Tanzania yaani Diamond Platnums ambaye hajui kabisa kuimba kwa kizungu.

Japokuwa Harmonize ametengenezwa WCB nilikuwa nikitarajia Diamond ndie aliemfundisha Harmo kuimba kizungu, lakini iweje WCB nzima Diamond na Mbosso tu ndo hawajui Kuimba kizungu, Zuchu anajitahidi na Rayvanny ila hawajafika kwa Harmonize.

Kati ya mawe ya Harmo aliyoimba kizungu ni pamoja na Single again, Influencer, bedroom, serious love, miss bantu. Namsihi Diamond amtafute Harmonize apewe shule
Hikihiki kiiengereza cha yu meki foli lavoo ooh 🤓🤓🤓
 
Katika Nchii ya Tanzania linapokuja suala la muziki na wanamuziki wanaweza Kuimba nyimbo Kwa kizungu nadhani harmonize ni mmoja wa wasanii hao, ameweza kutoa hit song nyingi alizoimba kizungu kuliko hata msaniii namba Moja wa Tanzania yaani Diamond Platnums ambaye hajui kabisa kuimba kwa kizungu.

Japokuwa Harmonize ametengenezwa WCB nilikuwa nikitarajia Diamond ndie aliemfundisha Harmo kuimba kizungu, lakini iweje WCB nzima Diamond na Mbosso tu ndo hawajui Kuimba kizungu, Zuchu anajitahidi na Rayvanny ila hawajafika kwa Harmonize.

Kati ya mawe ya Harmo aliyoimba kizungu ni pamoja na Single again, Influencer, bedroom, serious love, miss bantu. Namsihi Diamond amtafute Harmonize apewe shule
Harmoniz siku zote ni mtunzi mzur na muimbaj mzur sana you can't compare him with diamond harmonize is the best one
 
Harmoniz siku zote ni mtunzi mzur na muimbaj mzur sana you can't compare him with diamond harmonize is the best one
Harmo is just an average artist, na hizi level mnazo-force kumuweka ndiyo zinazomtoa kwenye reli. Kulazimisha ukubwa kiuwezo wa usanii, ki-brand mpaka kulazimisha lifestyle ndiyo vilivyompoteza mpaka akakurupuka kuanzisha label huku hana pesa matokeo yake ikafa kifo cha mende. Diamond is an all round entertainer/singer kumlinganisha na Harmo it's pure comedy.
 
Back
Top Bottom