Gucci gang
JF-Expert Member
- Jan 7, 2018
- 2,682
- 5,277
Mzee wa
One day i used to call my mama😁😁😁😁
One day i used to call my mama😁😁😁😁
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watu wa arusha muachage uzuzuNavy kenzo wanatisha asee, kuna album yao mpya 🔥🔥🔥
Music has no languageKatika Nchii ya Tanzania linapokuja suala la muziki na wanamuziki wanaweza Kuimba nyimbo Kwa kizungu nadhani harmonize ni mmoja wa wasanii hao, ameweza kutoa hit song nyingi alizoimba kizungu kuliko hata msaniii namba Moja wa Tanzania yaani Diamond Platnums ambaye hajui kabisa kuimba kwa kizungu.
Japokuwa Harmonize ametengenezwa WCB nilikuwa nikitarajia Diamond ndie aliemfundisha Harmo kuimba kizungu, lakini iweje WCB nzima Diamond na Mbosso tu ndo hawajui Kuimba kizungu, Zuchu anajitahidi na Rayvanny ila hawajafika kwa Harmonize.
Kati ya mawe ya Harmo aliyoimba kizungu ni pamoja na Single again, Influencer, bedroom, serious love, miss bantu. Namsihi Diamond amtafute Harmonize apewe shule
🤣🤣🤣🤣I go die