Diamond apokelewa Congo kwa shangwe

Diamond apokelewa Congo kwa shangwe

Huyo jini ndiyo alikuwa na vyeti feki. Ben Saa8 alipoandika makala ya kumuumbua akamuua.

Huko aliko afe tena
Ebu tutolee ujinga hapa...nenda kalime upupu huko na ukasome ili upate cheti halisi..wacha njia za mkato..nyambafuuu
 
Ebu tutolee ujinga hapa...nenda kalime upupu huko na ukasome ili upate cheti halisi..wacha njia za mkato..nyambafuuu
Ndiyo maana jiwe kafa. Alizungukwa na wajinga wengi kama wewe wakampotosha akazingatia ushirikina korona ikamuua
 


Hawa Wacongo labda na wao ni walinda legacy. Diamond yuko Kongo na mbanga zake nyingine kabisa lakini Wacongo wao akili yao inamuwaza Magu tuu.
Kweli huu ndio uongozi unaoacha alama. Wapinzani na sisi tukifanikiwa kukamata madaraka tujitahidi kuacha Kumbukumbu Kama hizi.

Panapo ukweli uongo hujitenga !! Hilo halina ubishi !! Tuige yale yote mema na yale mabaya tuyaache !! The Guy was the best ever !!
 
Mmekazana kusema muuwaji mkiambiwa mtaje hao aliowauwa mnaishia kutukana na kulopoka.

Chadema iliwajaza chuki na skendo za kitoto sana.

Si ajabu utakuwa vyeti feki kama sio mla rushwa
Kweli mkuu,vyeti feki ndio wanachuki na mwamba JPm,nawale wala rushwa Tu mkuu.
 
Taahi.ra wewe, nchi iko na watu milioni 60 na Rais ni lazima alinde maslahi ya wengi, huyo Mo ushamsikia akieleza kilichomfanya akamatwe? leo kikiwekwa wazi utaificha wapi sura yako? Tundu Lissu kwa HUJUMA alolifanyia Taifa kipindi kile wala haikuhitaji amri ya Rais kupatiwa haki yake bali mtu yeyote mwenye viapo tu lazima angemuadabisha, Ben Saanane nenda kamuulize DJ ndo anajua aliko, mtu awapore korosho wampende? muulize Nape kilichompata alivyoonesha kufurahia kifo cha JPM siku wakimkaribisha Membe kurejea CCM kwa kusema Mungu ameamua....
Nakukubali Sana mkuu,watu wakadhani hao Chadema sijui Akina Lissu niwakombozi hakuna lolote ,wala hakuna chochote kitu .JPm for life.
 
Sasa huyo shetani wako mbona hajapata hizo loloso ulizotuwekea kwenye huu uzi wenye lengo la kulinda legacy ya dikteta muuaji, mporaji na mtekaji?
Oh God my eyes are letting me down or what? did you wrote that your name is 'sexless' surely?
 
Kumpinga Magufuli ni sawa na kupoteza muda tu,
"The man was great" kubali kataa
 
Ben Sa8, Azory Gwanda na wale wote waliokutwa kwenye viroba baharini
Una ushahidi? Chuki tu zimekujaa.

Unakuta ukoo wenu ni wauaji mnatunza misukule ila mnajiona innocent .

Vyeti feki wewe.
 


Hawa Wacongo labda na wao ni walinda legacy. Diamond yuko Kongo na mbanga zake nyingine kabisa lakini Wacongo wao akili yao inamuwaza Magu tuu.

Kweli huu ndio uongozi unaoacha alama. Wapinzani na sisi tukifanikiwa kukamata madaraka tujitahidi kuacha Kumbukumbu Kama hizi.

Weye unampinzania nani hapo Tanzania?
 
The Afropop king [emoji146] DDiamond PlatnumzPDiamond Platnumzhas eligibly surpassed a milestone of 80M streams on Audiomack. He's is the first East African artist to hit this milestone. [emoji146][emoji881] Mainstream [emoji146] . How many are streaming diamondplatnumz on Audiomack!??
Screenshot_20220803-082402.jpg
 
Back
Top Bottom