Diamond arudisha dongo lingine kwa Naibu waziri wa Sanaa Juliana Shonza

[emoji621] [emoji621] [emoji621]
 
Diamond kumbe inauma eeehhh!!

Hahaaa ukiona wenzio wananyolewa tia maji
Its ur turn men...

Leo hii times FM imekua bora kuliko clouds?

Hizo ni frustration tu!hukutegemea kama yatakua hvyo wewe pambana na hali yako!

Kwa bongo hii without clouds unafeli kakaaa.

Mchawi binadamu paka katumwa tu...

Shonza paka..mchawi unamjua sana!

I'm sory simchukii mondi ila nampa ushauri
 
Diamond ameshakua mkubwa kuliko hiyo Clouds yako
 
diamond yupo sahihi kabisa hawa kina shonza wanakurupuka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…