Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwakweli. Huyo bwana siku akianguka kiburi sijui kitafika wapiUkiona mbwa anatingisha mkia kwa madaha ujue bwana wake yupo nyuma
LAKINI LAZIMA UYAPIME MAAMUZI YALIYOTOKA YA KUFUNGIA NYIMBO HAYAKUWA NA BUSARA HATA KIDOGO,,DIAMOND ANALIPA KODI,,HAWEZI KUJUTA I ASSURE YOUDayamondi ana point ya msingi ila kwa huu uwasilishaji wake yanakuja mtokea puani. Huwezi shindana na serikali
Huu uwoga utawaisha lini? Serikali inapaswa kuogopa wananchi. Duniani kote serikali inawaogopa sana wananchi. Na serikali haiwezi kushindana na wananchi popote pale dunianiDayamondi ana point ya msingi ila kwa huu uwasilishaji wake yanakuja mtokea puani. Huwezi shindana na serikali
Hili bifu mbona kama mtu na ex wake
Sijakataa hata njia ya ufungaji wanayotumia sio rasmi Kama dayamondi alivyosema kwenye hiyo tweet, wanataka mtu akate rufaa kwa barua ila wao hawatumi barua kumfungia mtu. Huu ni ubabaishajiLAKINI LAZIMA UYAPIME MAAMUZI YALIYOTOKA YA KUFUNGIA NYIMBO HAYAKUWA NA BUSARA HATA KIDOGO,,DIAMOND ANALIPA KODI,,HAWEZI KUJUTA I ASSURE YOU
Hahahha jamaaa kapoteza directions.Mondi Leo Anaenda Time FM Kwenye Interview Kweri Jaman....???
Ebu Watu Wawe Serious Bass
Ua jeusi chiboko.Stress za ua jeusi si za kitoto,kajisahau anadhan anajibishana na akina mabeto
[emoji120] [emoji120] [emoji120] [emoji120] [emoji120]Sijakataa hata njia ya ufungaji wanayotumia sio rasmi Kama dayamondi alivyosema kwenye hiyo tweet, wanataka mtu akate rufaa kwa barua ila wao hawatumi barua kumfungia mtu. Huu ni ubabaishaji
Ana madai ya msingi sana ila kutunishiana misuli na serikali is Never a good idea. Never. Anajiwekea mazingira magumu mwenyewe kwa sifa za kijinga, atafute njia rasmi ya kudeliver maoni yake
Leo Anatembea Na Wema Mama Wa MatumizHahahha jamaaa kapoteza directions.
Mliopo karibu nae mumsaidie. Jamaa arudi kwenye mstari
Serikali inaweza ogopa wananchi(mob) ila sio mwananchi. Mwananchi mmoja Ni rahisi Sana kukunyooshaHuu uwoga utawaisha lini? Serikali inapaswa kuogopa wananchi. Duniani kote serikali inawaogopa sana wananchi. Na serikali haiwezi kushindana na wananchi popote pale duniani
Kabisa yani kama vile masikio yamezidi kichwa. Kisa mtu unaenda imba world cup ndio usiwe na break za maneno. Approach ni mbaya sana usikute kaona Shonza ni mwanamke amekua mnyonge wake.Sijakataa hata njia ya ufungaji wanayotumia sio rasmi Kama dayamondi alivyosema kwenye hiyo tweet, wanataka mtu akate rufaa kwa barua ila wao hawatumi barua kumfungia mtu. Huu ni ubabaishaji
Ana madai ya msingi sana ila kutunishiana misuli na serikali is Never a good idea. Never. Anajiwekea mazingira magumu mwenyewe kwa sifa za kijinga, atafute njia rasmi ya kudeliver maoni yake