Raynavero
JF-Expert Member
- Apr 29, 2014
- 38,378
- 56,047
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] loh!perfect answer!Labda
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] loh!perfect answer!Labda
Comment yako kdgo nizani ni nabii tito karudi kumbe ni mtu mzima ..... Iyo clouds mbona mnaitetea sana utazani ipo moja tuDiamond kumbe inauma eeehhh!!
Hahaaa ukiona wenzio wananyolewa tia maji
Its ur turn men...
Leo hii times FM imekua bora kuliko clouds?
Hizo ni frustration tu!hukutegemea kama yatakua hvyo wewe pambana na hali yako!
Kwa bongo hii without clouds unafeli kakaaa.
Mchawi binadamu paka katumwa tu...
Shonza paka..mchawi unamjua sana!
I'm sory simchukii mondi ila nampa ushauri
Kuna watu wanamtumia for their own benefits am telling uu!!Wanaomshangilia Diamond kumshambulia hivi waziri wala sio kwamba wanampenda bali wanajaribu kujua nini kitatokea? Binafsi mimi nampenda Diamond lakini hili la kumshambulia waziri as if ni hawara yake kwakweli sikubaliani nalo kabisa.....Diamond amekosa adabu kabisa pengine anamjibu Shonza kwakuwa ni mwanamke lakini kamwe kwenye hili hatoweza shinda maana anayofanya waziri na taasisi yalikuwa ni maagizo ya Rais sasa unapo mshambulia waziri kwenye mitandao maana yake unamshambulia waziri...
Diamond anaweza kuwa na hoja lakini hii njia anayotumia haiwezi kumfikisha popote....maana kwenye hili hawa wanaomshangilia watakuja kumgeuka......Nyimbo zake zote hakuna aliyoonewa hata moja.....kwa hiyo kujifanya ana mdomo sana kunaweza mponza zaidi......
Ok poaComment yako kdgo nizani ni nabii tito karudi kumbe ni mtu mzima ..... Iyo clouds ua ina wafir******* nn mbona mna itetea sana utazani ipo moja tu
wasanii wa clouds ni kama akina nani?Nyinyi wenyewe mnasapoti wasanii wa cloouds na kuwaacha walioamua kujitegemea
Ruby...wasanii wa clouds ni kama akina nani?
na waliojitegemea ni akina nani?
Acha wampe kiburi chibu. Kumbe wanampa kaburi.Tena haswaa nchi maskini!!Chrissi brown alifungiwa nje ila ana fan base all over the world that's why alisurvive ila sio Tz manaafiki kibao
kwa fikira ndogo huyo Ruby wa clouds unaweza kumlinganisha ni lady jay dee?Ruby...
Jide...
Sio tu mkubwa kuliko clouds Bali pia ni mkubwa kuliko Shonza kwa mbaaaaaliDiamond ameshakua mkubwa kuliko hiyo Clouds yako
Mtengwa wa cloudskwa fikira ndogo huyo Ruby wa clouds unaweza kumlinganisha ni lady jay dee?
Tanzania kuna media nyingi sana kwahiyo clouds yenyewe haiwezi ikamfanya Diamond adrop na mfano mxuri ni kwa lady jay deeAcha wampe kiburi chibu. Kumbe wanampa kaburi.
Jamaaa ushawishi wake unadrop deile.
Binafsi nahisi kama akiweka mambo sawa na clouds atazidi kupaa kuliko kuanza vita
Haitakuja kutokea mkuu. Clouds ni kitu kingine. Msimpe bichwa jamaa atakuja kufeli vibayaDiamond ameshakua mkubwa kuliko hiyo Clouds yako
wewe uliona wapi Nay ana jibizana na waziri?Wewe ni mwepesi sana Wa kusahau. Ney na wimbo wake Wa "Wapo" alipata msukosuko toka jeshi la polisi, Rais magufuli akawaambia wamwachie na akasema anaupenda sana huo wimbo. Kawaziri hako ni kadogo sana ndugu
Hakuna asiyelipa kodi mzee. Msidanganyike na mbwembwe. Serikali ni kubwa kuliko msanii yeyote yule.LAKINI LAZIMA UYAPIME MAAMUZI YALIYOTOKA YA KUFUNGIA NYIMBO HAYAKUWA NA BUSARA HATA KIDOGO,,DIAMOND ANALIPA KODI,,HAWEZI KUJUTA I ASSURE YOU
Ua jeusi chiboko.
Maana hata kama mtu una backup sio kwa hasira hizi
Sawa MkuuHaitakuja kutokea mkuu. Clouds ni kitu kingine. Msimpe bichwa jamaa atakuja kufeli vibaya
Ni bora kujiepusha na mabeef ya haya mamedia
Usikute wameshakulana hawa maana diamond naye asione sketi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Labda anataka ajiweke kwa Fyonza maana wagombanao.....Halafu walikuwa pamoja kwenye Kampeni.