Diamond arudisha dongo lingine kwa Naibu waziri wa Sanaa Juliana Shonza

Diamond arudisha dongo lingine kwa Naibu waziri wa Sanaa Juliana Shonza

Diamond kumbe inauma eeehhh!!

Hahaaa ukiona wenzio wananyolewa tia maji
Its ur turn men...

Leo hii times FM imekua bora kuliko clouds?

Hizo ni frustration tu!hukutegemea kama yatakua hvyo wewe pambana na hali yako!

Kwa bongo hii without clouds unafeli kakaaa.

Mchawi binadamu paka katumwa tu...

Shonza paka..mchawi unamjua sana!

I'm sory simchukii mondi ila nampa ushauri
Wameimba sana, wametukuza sana, wamesifu sana na kuunga mkono sana.
Sasa yanakuja yanayotusibu nao yanawakuta.
" Akimakiza huku atahamia huko"---- By Tundu Lisu
 
Diamond kumbe inauma eeehhh!!

Hahaaa ukiona wenzio wananyolewa tia maji
Its ur turn men...

Leo hii times FM imekua bora kuliko clouds?

Hizo ni frustration tu!hukutegemea kama yatakua hvyo wewe pambana na hali yako!

Kwa bongo hii without clouds unafeli kakaaa.

Mchawi binadamu paka katumwa tu...

Shonza paka..mchawi unamjua sana!

I'm sory simchukii mondi ila nampa ushauri
cloud ni mdudu gani??? subir wasafi tv iwanyooshe na tunasomba wafanyakazi wote pale abakie jamaa mweusi kama lami yule, demu wake tushamchukua
 

Ila WCB sometimes wanakera sana,yan tangu wiki jana kila kona Unaona post zinazowahusu wao tuuu huko instagram ndo hata kupata dondoo za sok through Matchdaytz hatuwezi maana post za WCB zimezima page zote...
 
Diamond bila kumtia mtu mimba heshima haitakuwepo.. diamond kafanye yake
 
kumbukeni Diamond Na Paul Makonda Ni Marafiki Na Ndo Mlezi Wa Studio Ya Wasafi Huyo Shonza Hawezi Fanya Kitu Hapo Dady Yupo
 
Usikute wameshakulana hawa maana diamond naye asione sketi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Bifu la kutosana wanalileta public

Nina wasiwasi na kipindi kile cha kampeniw.
 
Diamond tambaaa nae...

We gat ur back..
 
Kijana anapitia wakati mgumu sana,alidhan atakua poa ila siku zinavyozidi kwenda ndivyo anavyozidi kuharibu hali ya biashara
(8).jpg

Ua jeusi chiboko.
Maana hata kama mtu una backup sio kwa hasira hizi
 
Wanaomshangilia Diamond kumshambulia hivi waziri wala sio kwamba wanampenda bali wanajaribu kujua nini kitatokea? Binafsi mimi nampenda Diamond lakini hili la kumshambulia waziri as if ni hawara yake kwakweli sikubaliani nalo kabisa.....Diamond amekosa adabu kabisa pengine anamjibu Shonza kwakuwa ni mwanamke lakini kamwe kwenye hili hatoweza shinda maana anayofanya waziri na taasisi yalikuwa ni maagizo ya Rais sasa unapo mshambulia waziri kwenye mitandao maana yake unamshambulia Rais
Diamond anaweza kuwa na hoja lakini hii njia anayotumia haiwezi kumfikisha popote....maana kwenye hili hawa wanaomshangilia watakuja kumgeuka......Nyimbo zake zote hakuna aliyoonewa hata moja.....kwa hiyo kujifanya ana mdomo sana kunaweza mponza zaidi......

Kwanini mnachukua uanamke kama excuses?.. Diamond ana hoja za msingi haijalishi anaemjibu ni mwanamama au mwanamme
 
Nimeshangaa sana kaka diamond kujibu hii kitu.hapa nipo nasikiliza ule wimbo wake unaitwa "bora nikae kimya" huu utawala hakuna aliyesalama, ila ni suala la muda. Tusipende kujitoa kwenye mambo yanayoligusa taifa eti kisa unakula nao au unalelewa na wao

Mkuu umefunga mjadala..siendelei tena kusoma comments hii yko ni summary tosha.
 
Acha wampe kiburi chibu. Kumbe wanampa kaburi.

Jamaaa ushawishi wake unadrop deile.

Binafsi nahisi kama akiweka mambo sawa na clouds atazidi kupaa kuliko kuanza vita
Kwani hao cloud wanasikika na kuonekana dunia nzima bwana ? Wasafi tv na redio inafunguliwa very soon,wasimbabaishe,mond yuko juu kuliko hiyo cloud
 
Kwani hao cloud wanasikika na kuonekana dunia nzima bwana ? Wasafi tv na redio inafunguliwa very soon,wasimbabaishe,mond yuko juu kuliko hiyo cloud
Naitakia kila la kheri wasafi tv
 
Wanaomshangilia Diamond kumshambulia hivi waziri wala sio kwamba wanampenda bali wanajaribu kujua nini kitatokea? Binafsi mimi nampenda Diamond lakini hili la kumshambulia waziri as if ni hawara yake kwakweli sikubaliani nalo kabisa.....Diamond amekosa adabu kabisa pengine anamjibu Shonza kwakuwa ni mwanamke lakini kamwe kwenye hili hatoweza shinda maana anayofanya waziri na taasisi yalikuwa ni maagizo ya Rais sasa unapo mshambulia waziri kwenye mitandao maana yake unamshambulia Rais
Diamond anaweza kuwa na hoja lakini hii njia anayotumia haiwezi kumfikisha popote....maana kwenye hili hawa wanaomshangilia watakuja kumgeuka......Nyimbo zake zote hakuna aliyoonewa hata moja.....kwa hiyo kujifanya ana mdomo sana kunaweza mponza zaidi......
sisi wengine huwa hatutaki kuyasema haya ...maana wenye team zao ...wameamua kujivisha vazi LA upofu wa kufikiri ....huwa wanasifu na kutetea mpka mambo ya kipuuzi """ teheee....hata hii comment pia wataipinga
 
sisi wengine huwa hatutaki kuyasema haya ...maana wenye team zao ...wameamua kujivisha vazi LA upofu wa kufikiri ....huwa wanasifu na kutetea mpka mambo ya kipuuzi """ teheee....hata hii comment pia wataipinga
Yuma ya diamond kuna nguvu kubwa mno ,huijui tu. Ana watu wengi ambao shonza hana na kibaya zaidi shonza hana ajualo kwenye system, sio kila mtu unaweza mvamia tu.
 
Back
Top Bottom