Diamond arudisha dongo lingine kwa Naibu waziri wa Sanaa Juliana Shonza

Diamond arudisha dongo lingine kwa Naibu waziri wa Sanaa Juliana Shonza

Mnafiki kazin
B
bestmale
JF-Expert Member
#1 Nov 25, 2016
mimi namkubali sana Mond bin laden aka Chibu simba platinamzi , hivi huu wimbo wa mond na rich Mavoko , hawa bazata kama sio basata hawajauona ?? mbona mademu wako uchi kabisaaaa kuliko hata wale wa umarekani kwa trump.

Inawezekana Basata na bazata pia ni team wasafi
ana nguvu na anajulikana kuliko uyo sugu wako anaye kusuguwaga
 
Diamond kumbe inauma eeehhh!!

Hahaaa ukiona wenzio wananyolewa tia maji
Its ur turn men...

Leo hii times FM imekua bora kuliko clouds?

Hizo ni frustration tu!hukutegemea kama yatakua hvyo wewe pambana na hali yako!

Kwa bongo hii without clouds unafeli kakaaa.

Mchawi binadamu paka katumwa tu...

Shonza paka..mchawi unamjua sana!

I'm sory simchukii mondi ila nampa ushauri
Kwahiyo unataka sema chibu asifanye interview na kituo chochote ila clouds tu?
 
Maana kuna =>clean version
=>Explicit 18+
We hapo unaangaliaga zipi mkuu mpenda maadili?
clean video ipo haina kale kadada sana,ingawa kuna scine moja kametokea,ili kukaona inabidi uweke stop ya haraka.
lakinmi hiyo siyo sanaa inayohitajika huku na wala siyo sanaa ya kiafrika,na wala siyo sanaa wanayohitaji wageni waliopo nje ya Tanzania,ila ni sisi ndo tunajidanganya tu.
 
Hakuna asiyelipa kodi mzee. Msidanganyike na mbwembwe. Serikali ni kubwa kuliko msanii yeyote yule.

Kama anahisi ameonewa, afuate utaratibu na sio kuwananga viongozi wa taifa letu kisa kujulikana kwa kuimba.

Mawaziri wameteuliwa na mh rais. Kuanza kuwananga, ni kumnanga rais pamoja na serikali nzima.

Who is diamond kwa taifa hili na viongozi wake? Kama anaonewa ahame nchi akafanye muziki huko wanakoruhusu upumbavu na alipe huko hizo kodi
Yani humjui Diamond!!
 
Naibu waziri Fyonza anamtaka Chibu ila tamaduni za kiafrika zinamnyima Fyonza furusa ya kumtamkia Chibu.
 
Watajuana Kivyao Bhana

Kipindi Cha Kampen Si Ndio Huwa Wanamtumia Uyo Kijana.....!!

Nimekumbuka Kauli Ya Mr President 2020 Tundu Lissu

Hawa Watu Wakimaliza Kwetu Watahamia Na Kwenu

Over
.....vipi mzee wa kunyata mna'mtema 2020 !?
 
Back
Top Bottom