Diamond arudisha dongo lingine kwa Naibu waziri wa Sanaa Juliana Shonza

Diamond arudisha dongo lingine kwa Naibu waziri wa Sanaa Juliana Shonza

jpm ndo serkali ...na amempigia simu majuzi tu kumpongeza....hao wengine wanapiga kelele tu au ulikua unazungumzia serikal ipi tena
Ushamba tu kwanza manyimbo yake matusi mwanzo mwisho. Tabia chafu. Hatmonize yuko njema sana
 
Sisi kama clouds tunasikitika sana kwani tulizani tunamchimbia kaburi huyu kijana kumbe ndo tunamuongezea mbolea
 
hi mambo ya Shonza na Diamond yananikumbusha wakati wa Makonda na Nape ..Uyo Shonza siku zake za madaraka zinakaribia kuisha
 
Sisemi nanyamaza sasa amasema unafiki tuu umemjaa
 
Ukionaa Mtoto wa mbwa anakubwekea na anapata ujasiri wa kukufukuza mtu mzima jua Mama akee yupo karibu... Walahi diamond Kuna MTU aliepo nyuma yake ndo anampa Hicho kiburiii... Naibu rais Bashite ndo kampa Mond jeuri ya kujibu vilee.. Eti hata ukinifungia Bongo me napiga zangu show na nyimbo hizo Nje?????? Serious haya si matusi kwa serikali... Kijana anajiamini sanaa ilaa huko alikofikaa sio.... Serikali inaweza kumfanyia figisu mpaka akajutaa...Mondi kwa hili ajitathmini!
 
Kabisa yani kama vile masikio yamezidi kichwa. Kisa mtu unaenda imba world cup ndio usiwe na break za maneno. Approach ni mbaya sana usikute kaona Shonza ni mwanamke amekua mnyonge wake.

tatizo la huyu kijana anawadharau sana wanawake
 
Diamond kumbe inauma eeehhh!!

Hahaaa ukiona wenzio wananyolewa tia maji
Its ur turn men...

Leo hii times FM imekua bora kuliko clouds?

Hizo ni frustration tu!hukutegemea kama yatakua hvyo wewe pambana na hali yako!

Kwa bongo hii without clouds unafeli kakaaa.

Mchawi binadamu paka katumwa tu...

Shonza paka..mchawi unamjua sana!

I'm sory simchukii mondi ila nampa ushauri
una chuki na mwekezaji sio bure unajuwa ajira ngapi kakrieti pale
 
Lil ommy ni mkali kuliko Dozen trust me Bro sema Dozen anabebwa na ukubwa wa CMG

Yeah Bro
Ommy yuko vizuri sana, Ana Maswali ya Logic Dozen hayupo deep kivile, nilifatilia interview Yao na Shonza he's too easy, Jana nikafatilia tena interview Yao na wakazi yani wakazi ni Artist but the way anavyojibu maswali ya Dozen utafikiri D ndo interviewer. ata perfect atamkalisha soon tu,CMG Isingekua kubwa, kuna bahadhi ya presenter hata tusingekua tunawafahamu.
 
Sawa!!yetu macho....!!!!
Nimesoma comments zako kwenye huu uzi ! Nimekuelewa kinoma!

Wabongo huwa wanafiki sana angalia wasanii wote waliogombana na clouds walipewa sapoti sana mwanzoni ila mwishoni hao hao ndo walirudi kuwacheka!
mfano!
rama D
ruby
TID
vinegar

Muda nadhani utaamua!
 
Wanaomshangilia Diamond kumshambulia hivi waziri wala sio kwamba wanampenda bali wanajaribu kujua nini kitatokea? Binafsi mimi nampenda Diamond lakini hili la kumshambulia waziri as if ni hawara yake kwakweli sikubaliani nalo kabisa.....Diamond amekosa adabu kabisa pengine anamjibu Shonza kwakuwa ni mwanamke lakini kamwe kwenye hili hatoweza shinda maana anayofanya waziri na taasisi yalikuwa ni maagizo ya Rais sasa unapo mshambulia waziri kwenye mitandao maana yake unamshambulia Rais
Diamond anaweza kuwa na hoja lakini hii njia anayotumia haiwezi kumfikisha popote....maana kwenye hili hawa wanaomshangilia watakuja kumgeuka......Nyimbo zake zote hakuna aliyoonewa hata moja.....kwa hiyo kujifanya ana mdomo sana kunaweza mponza zaidi......
Kwani watamfanya nini?
 
Dogo achunge mdomo wake. Atapimwa mkojo hivi punde.
 
Shonza piga pini miezi sita huyu mtoto awe na adabu na serikali yetu
 
Kwa njii hii amewin master wa fitna
Siku zote mkurugenzi vipindi na uzalishaji wa mawingu FM...ametafuta kila njia kumdondosha zikafail..
Njia pekee iliyobakia ni kutengeneza namna ya kumpanikisha mond agombane na serikali ilo limefanikiwa kwa 60%
Mzee wa fitna anapambana sasa hatua zichukuliwe..
BT naamini mond hawezi shuka kimziki coz nyuma yake kuna watu wengi sana...
God blec WCB!
 
Back
Top Bottom