Diamond arudisha dongo lingine kwa Naibu waziri wa Sanaa Juliana Shonza

Diamond arudisha dongo lingine kwa Naibu waziri wa Sanaa Juliana Shonza

nyie watu ni wanafiki sana,,mange kila siku anatukana watu na mnamuunga mkono mnamuita mwanaharakati,,,leo dai anatoa dukuduku lake mnamuita kiburi,,alafu wapumbav wengne wanamuona kaishiwa kisa kaenda times fm kufanya interview sasa kama clouds ndio media pekee basi vituo vingine vifungwe,,yan mnakua na mambo ya kiswahil ya ukila nyama unaonekana unajidai cku ukila dagaa unaonekana umeishiwa ,,,mbona mnakua malimbuken hvyo,,hv ni lini watanzania mtaacha unafik na uwoga wa ajabu,,mnaiogopa serikali wakati nyie ndo mumeiweka madarakani,,,kwahyo kama hao mawazir hawafuat utaratibu ndio wasiambiwe,,mbona rais wanamtukana kila cku kwenye mitandao,,kwa hal hyo nahic yule bwana aliyekurupuka kwa kusema watu wasioe mpaka vyet vya kuzaliwa wangemuacha tu wa upuuz wake ungekubalika,,,some times nachukia kuwa mwafrika tena mtanzania kuna mambo ya ajabu sana kwetu,,mambo ya kumshusha mmoja ili mwingne awe juu yapo tanzania,,mambo ya kuombea mtu akosee ili waseme hafai yapo tanzania,,
 
nyie watu ni wanafiki sana,,mange kila siku anatukana watu na mnamuunga mkono mnamuita mwanaharakati,,,leo dai anatoa dukuduku lake mnamuita kiburi,,alafu wapumbav wengne wanamuona kaishiwa kisa kaenda times fm kufanyFa interview sasa kama clouds ndio media pekee basi vituo vingine vifungwe,,yan mnakua na mambo ya kiswahil ya ukila nyama unaonekana unajidai cku ukila dagaa unaonekana umeishiwa ,,,mbona mnakua malimbuken hvyo,,hv ni lini watanzania mtaacha unafik na uwoga wa ajabu,,mnaiogopa serikali wakati nyie ndo mumeiweka madarakani,,,kwahyo kama hao mawazir hawafuat utaratibu ndio wasiambiwe,,mbona rais wanamtukana kila cku kwenye mitandao,,kwa hal hyo nahic yule bwana aliyekurupuka kwa kusema watu wasioe mpaka vyet vya kuzaliwa wangemuacha tu wa upuuz wake ungekubalika,,,some times nachukia kuwa mwafrika tena mtanzania kuna mambo ya ajabu sana kwetu,,mambo ya kumshusha mmoja ili mwingne awe juu yapo tanzania,,mambo ya kuombea mtu akosee ili waseme hafai yapo tanzania,,
Umemaliza kila kitu
Ova
 
Umaneni tu team wachafu dady is coming na nyota zenu za kijani hahahahahahahahahahahahahaha mtoto umleavyo na bado mpk mnyooke
 
Sijakataa hata njia ya ufungaji wanayotumia sio rasmi Kama dayamondi alivyosema kwenye hiyo tweet, wanataka mtu akate rufaa kwa barua ila wao hawatumi barua kumfungia mtu. Huu ni ubabaishaji

Ana madai ya msingi sana ila kutunishiana misuli na serikali is Never a good idea. Never. Anajiwekea mazingira magumu mwenyewe kwa sifa za kijinga, atafute njia rasmi ya kudeliver maoni yake
U hv a point kutunisha msuli dhidi ya serekali sio jambo jema
kuna mchungaji mmoja aliwahi tunisha msuli dhidi ya serekali akaja kumaizi kumbe
msuli wake ni bua tupu mpaka leo yupo kimyaaa
 
Dayamondi ana point ya msingi ila kwa huu uwasilishaji wake yatakuja mtokea puani. Huwezi shindana na serikali
jpm ndo serkali ...na amempigia simu majuzi tu kumpongeza....hao wengine wanapiga kelele tu au ulikua unazungumzia serikal ipi tena
 
Ukiondoa hayo majibizano ukweli ni kuwa Moja katika Teuzi za hovyo kabisa alizofanya Magufuli ni huyu dada. Hana sifa yoyote
Zaidi uke ushabiki wa Magufuli kuwa madam umetoka Chadema basi ntawaonesha.
Hana sifa ya elimu , busara na heshima kuwa Waziri.
 
Back
Top Bottom