Agenda1
JF-Expert Member
- Aug 11, 2017
- 1,695
- 3,412
OhoooNaibu waziri Fyonza anamtaka Chibu ila tamaduni za kiafrika zinamnyima Fyonza furusa ya kumtamkia Chibu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
OhoooNaibu waziri Fyonza anamtaka Chibu ila tamaduni za kiafrika zinamnyima Fyonza furusa ya kumtamkia Chibu.
Umemaliza kila kitunyie watu ni wanafiki sana,,mange kila siku anatukana watu na mnamuunga mkono mnamuita mwanaharakati,,,leo dai anatoa dukuduku lake mnamuita kiburi,,alafu wapumbav wengne wanamuona kaishiwa kisa kaenda times fm kufanyFa interview sasa kama clouds ndio media pekee basi vituo vingine vifungwe,,yan mnakua na mambo ya kiswahil ya ukila nyama unaonekana unajidai cku ukila dagaa unaonekana umeishiwa ,,,mbona mnakua malimbuken hvyo,,hv ni lini watanzania mtaacha unafik na uwoga wa ajabu,,mnaiogopa serikali wakati nyie ndo mumeiweka madarakani,,,kwahyo kama hao mawazir hawafuat utaratibu ndio wasiambiwe,,mbona rais wanamtukana kila cku kwenye mitandao,,kwa hal hyo nahic yule bwana aliyekurupuka kwa kusema watu wasioe mpaka vyet vya kuzaliwa wangemuacha tu wa upuuz wake ungekubalika,,,some times nachukia kuwa mwafrika tena mtanzania kuna mambo ya ajabu sana kwetu,,mambo ya kumshusha mmoja ili mwingne awe juu yapo tanzania,,mambo ya kuombea mtu akosee ili waseme hafai yapo tanzania,,
Mlezi wa kundi ni RC ambaye ni serikaliDayamondi ana point ya msingi ila kwa huu uwasilishaji wake yatakuja mtokea puani. Huwezi shindana na serikali
U hv a point kutunisha msuli dhidi ya serekali sio jambo jemaSijakataa hata njia ya ufungaji wanayotumia sio rasmi Kama dayamondi alivyosema kwenye hiyo tweet, wanataka mtu akate rufaa kwa barua ila wao hawatumi barua kumfungia mtu. Huu ni ubabaishaji
Ana madai ya msingi sana ila kutunishiana misuli na serikali is Never a good idea. Never. Anajiwekea mazingira magumu mwenyewe kwa sifa za kijinga, atafute njia rasmi ya kudeliver maoni yake
jpm ndo serkali ...na amempigia simu majuzi tu kumpongeza....hao wengine wanapiga kelele tu au ulikua unazungumzia serikal ipi tenaDayamondi ana point ya msingi ila kwa huu uwasilishaji wake yatakuja mtokea puani. Huwezi shindana na serikali
Ana kakayake asiyeshindwa kamwe!Dayamondi ana point ya msingi ila kwa huu uwasilishaji wake yatakuja mtokea puani. Huwezi shindana na serikali
hio siku am afraid it wont ..hamna namna mpendeni tuKwakweli. Huyo bwana siku akianguka kiburi sijui kitafika wapi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] baelezee baelewe!Ana kakayake asiyeshindwa kamwe!
Hii ni mwaka jana akiwa huko huko Times... cjui ni nani kawaambia alikuwa anaenda Cloudds peke yake:Mondi Leo Anaenda Time FM Kwenye Interview Kweri Jaman....???
Ebu Watu Wawe Serious Bass
TRUEDayamondi ana point ya msingi ila kwa huu uwasilishaji wake yatakuja mtokea puani. Huwezi shindana na serikali
Kuota ni haki ya kila BINADAMU,kwahiyo endelea kuota tu..!Kwa bongo hii without clouds unafeli kakaaa.
Kwani hajawahi kwenda Times FM kufanya interview..!?Mondi Leo Anaenda Time FM Kwenye Interview Kweri Jaman....???
Ebu Watu Wawe Serious Bass