SHADOWANGEL
JF-Expert Member
- Sep 15, 2014
- 528
- 350
Kama nawaona wanavyojaribu kuamisha akili za watu na maandamano....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nyie ndio mnampoteza mwenzenu kwa sifa za kijingaDiamond ameshakua mkubwa kuliko hiyo Clouds yako
watajijua ccm wote hao ila sitaki diamond ashuke jamaniSio kwa tz Hii
Wanaafiki kibao wasiopenda awe juu!
Hao hao wanaojifanya kumuunga mkono watamdondosha am telling uu!!
Na ukute they know what their doing!!
Mission accomplished!
Karudi kwa wema???Leo Anatembea Na Wema Mama Wa Matumiz
Bi Zari Yule Mama Wa Fulsa Kaachwa
Shubhamit
Wanaomshangilia Diamond kumshambulia hivi waziri wala sio kwamba wanampenda bali wanajaribu kujua nini kitatokea? Binafsi mimi nampenda Diamond lakini hili la kumshambulia waziri as if ni hawara yake kwakweli sikubaliani nalo kabisa.....Diamond amekosa adabu kabisa pengine anamjibu Shonza kwakuwa ni mwanamke lakini kamwe kwenye hili hatoweza shinda maana anayofanya waziri na taasisi yalikuwa ni maagizo ya Rais sasa unapo mshambulia waziri kwenye mitandao maana yake unamshambulia RaisSio kwa tz Hii
Wanaafiki kibao wasiopenda awe juu!
Hao hao wanaojifanya kumuunga mkono watamdondosha am telling uu!!
Na ukute they know what their doing!!
Mission accomplished!
Ni kipindi wasaniii wakajitambua hawawezi kuwa na mafanikio kwa kutegemea clouds...what is clouds....wasanii wajenge umoja na wote wagome clouds kupiga nyimbo zao, tuone hili jitembo litakula nini...wakitengana wataendelea kunyanyaswa milele, waache wivu, wajenge satisfaction moja watafanikiwa sana dhidi ya hili bepari la mziki nyonyaji ....Diamond kumbe inauma eeehhh!!
Hahaaa ukiona wenzio wananyolewa tia maji
Its ur turn men...
Leo hii times FM imekua bora kuliko clouds?
Hizo ni frustration tu!hukutegemea kama yatakua hvyo wewe pambana na hali yako!
Kwa bongo hii without clouds unafeli kakaaa.
Mchawi binadamu paka katumwa tu...
Shonza paka..mchawi unamjua sana!
I'm sory simchukii mondi ila nampa ushauri
Ruttashobolwa, una maanisha Diamond hana NIDHAMU siyo?Wanaomshangilia Diamond kumshambulia hivi waziri wala sio kwamba wanampenda bali wanajaribu kujua nini kitatokea? Binafsi mimi nampenda Diamond lakini hili la kumshambulia waziri as if ni hawara yake kwakweli sikubaliani nalo kabisa.....Diamond amekosa adabu kabisa pengine anamjibu Shonza kwakuwa ni mwanamke lakini kamwe kwenye hili hatoweza shinda maana anayofanya waziri na taasisi yalikuwa ni maagizo ya Rais sasa unapo mshambulia waziri kwenye mitandao maana yake unamshambulia waziri...
Diamond anaweza kuwa na hoja lakini hii njia anayotumia haiwezi kumfikisha popote....maana kwenye hili hawa wanaomshangilia watakuja kumgeuka......Nyimbo zake zote hakuna aliyoonewa hata moja.....kwa hiyo kujifanya ana mdomo sana kunaweza mponza zaidi......
Na nyie ndo ambao mtaipoteza hiyo Media (clouds) round hii kwa kuwaaminisha kwamba hakuna msanii bila media..inaweza kuwa kweli ni ivyo lkn hiyo isiwe sababu wasanii wakubali kunyonywa au kudhulumiwa maslahi na hizo media.Nyie ndio mnampoteza mwenzenu kwa sifa za kijinga
Duniani hapa hakuna msanii mkubwa kuliko.media
Kil.msanii anahitaji media zote katika kufanikisha kazi zake
Hata media kama clouds bila wasanii haiendiNyie ndio mnampoteza mwenzenu kwa sifa za kijinga
Duniani hapa hakuna msanii mkubwa kuliko.media
Kil.msanii anahitaji media zote katika kufanikisha kazi zake
Nyinyi wenyewe mnasapoti wasanii wa cloouds na kuwaacha walioamua kujitegemeaNi kipindi wasaniii wakajitambua hawawezi kuwa na mafanikio kwa kutegemea clouds...what is clouds....wasanii wajenge umoja na wote wagome clouds kupiga nyimbo zao, tuone hili jitembo litakula nini...wakitengana wataendelea kunyanyaswa milele, waache wivu, wajenge satisfaction moja watafanikiwa sana dhidi ya hili bepari la mziki nyonyaji ....
Wewe ni mwepesi sana Wa kusahau. Ney na wimbo wake Wa "Wapo" alipata msukosuko toka jeshi la polisi, Rais magufuli akawaambia wamwachie na akasema anaupenda sana huo wimbo. Kawaziri hako ni kadogo sana nduguWanaomshangilia Diamond kumshambulia hivi waziri wala sio kwamba wanampenda bali wanajaribu kujua nini kitatokea? Binafsi mimi nampenda Diamond lakini hili la kumshambulia waziri as if ni hawara yake kwakweli sikubaliani nalo kabisa.....Diamond amekosa adabu kabisa pengine anamjibu Shonza kwakuwa ni mwanamke lakini kamwe kwenye hili hatoweza shinda maana anayofanya waziri na taasisi yalikuwa ni maagizo ya Rais sasa unapo mshambulia waziri kwenye mitandao maana yake unamshambulia waziri...
Diamond anaweza kuwa na hoja lakini hii njia anayotumia haiwezi kumfikisha popote....maana kwenye hili hawa wanaomshangilia watakuja kumgeuka......Nyimbo zake zote hakuna aliyoonewa hata moja.....kwa hiyo kujifanya ana mdomo sana kunaweza mponza zaidi......
Tena haswaa nchi maskini!!Chrissi brown alifungiwa nje ila ana fan base all over the world that's why alisurvive ila sio Tz manaafiki kibaoNyie ndio mnampoteza mwenzenu kwa sifa za kijinga
Duniani hapa hakuna msanii mkubwa kuliko.media
Kil.msanii anahitaji media zote katika kufanikisha kazi zake