Diamond asema "Nipo tayari kumsaidia collabo Ali Kiba"

Nampenda sana ila anaboaaa hata nyie anawaboa mi nataman wangekua level sawa na diamond sasa anatuangusha kiba kumponda sio kumchukia ni kumuweka kwenye mstarii kiba anaweza ila sijui kapooza hata sielewii

Dinazarde umenena hakika!
Huyu Alikiba naye kazidi unyonge sana hadi ana kera!
Anatakiwa aanze kupambana nae sio kunyaza tuu!
Aanze kubadilika kwenye mavazi na anatakiwa kujibu hii statement ya Diamond kwa kusema sihitaji msaada wa mtu!

Mashabiki wanatamani Ally apambane na Diamond jino kwa jino sio kuwa mpole ....hadi ana kera!
 
Last edited by a moderator:

Ndio sasa yaan tukimsema tunaonekana tunachukiaa
 
Last edited by a moderator:
Dogo anakera sana na kaulizi zake za dharau, ila asisahau kwamba (mpanda ngazi pia hushuka
 

Mi naamini hao wanaojiita Team kiba wengi wao si mashabiki wa Ally kiba peke yake bali ni muunganiko wa mashabiki wa kuanzia juma nature, inspector haroun, Baby madaha shilole, crazy G.k, T.I.D, Banana zorro na wengineo kwa kifupi ni mpambano wa Diamond V Others

Hapo kauli ya Diamond ipo poa sababu yeye ndo yupo juu zaidi wasanii wote kwa sasa hapa Bongo ukifanya kolabo nae lazma upate kick na ni kama akusaidie, kabla hujakunja sura yako muulize Chidy benz kwann alikubali hayo na pia kulia wakati anahojiwa baada ya kutoa ngoma yake na Dimond
 
Ndomo hana akili.amsaidie nani wakti alikiba jembe zaidi yake.mwambie domo ambunguze dharau asifikiri hivyo via award vya kishetani vnamba kiburi

hahahaha. umenichekesha sana
 
hivi kwani huyo diamond ni nani hasa?kila siku domo domo domo!domo my a**.hivi si ni huyo diamond aliyekuwa anamuomba kiba ili aimbe nae jukwaani hata kwa bure kabla hajawa maharufu?mbona cjawh kusikia kiba kamtangaza wala kuongea hilo.ama kweli binadamu tunasahau sana 2lpotok.huyo diamond hana hupungufu wa shule peke yake,bali anaupungufu wa HEKIMA. T.I gt mny bt i nvr sw hm spckn ths knd f SHTT!!!!!!!!
 
kiba mtu na hekima zake,sitaraji kuona akijibu ili,yeye ni onether level haitaji kubebwa,maana yeye ni international ameshafanya kazi hadi na robert kerry
 
Ndomo hana akili.amsaidie nani wakti alikiba jembe zaidi yake.mwambie domo ambunguze dharau asifikiri hivyo via award vya kishetani vnamba kiburi

Ndugu yangu una hasira mpaka unaparura maneno...

"Nlikuwepo":bolt:
 
usiumie tena domo kakalishwa vibaya fiesta
 
nifaaaaaaaa
nlilala jana humu ndani mimi,weewe na miss strong ndo wadada wa kiba na madongo yotee ila tumesimama

Nilisema siku nyingi watu watapotea humu.....leo wame admitt kuwa jamaa kafanyiwa kitu mbaya.Kutukana wakunga wakati una mimba changa ni kutafuta vita.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…