Opera Min
JF-Expert Member
- Nov 28, 2013
- 890
- 658
kabla ya kolabo na dianond nilikua simjui kiviilee
iyanya,kcee,donald(msouth) na hata brackets nao sikua
nawafatilia kwa saana but kupitia mond now nawafatilia
sana hawa jamaa.nadhani hii sio peke yngu tu hata kwa
wa east african walio wengi.
na hata kabla ya kolabo na davido nadhani mond alikua
hajulikani saana huko naija.
huu ndio umuhimu wa kolabo.ila zikiwa too much inaboa unakua hauna taste mpya,muhimu kujipa muda na kutuliza kichwa.
iyanya,kcee,donald(msouth) na hata brackets nao sikua
nawafatilia kwa saana but kupitia mond now nawafatilia
sana hawa jamaa.nadhani hii sio peke yngu tu hata kwa
wa east african walio wengi.
na hata kabla ya kolabo na davido nadhani mond alikua
hajulikani saana huko naija.
huu ndio umuhimu wa kolabo.ila zikiwa too much inaboa unakua hauna taste mpya,muhimu kujipa muda na kutuliza kichwa.