Opera Min
JF-Expert Member
- Nov 28, 2013
- 890
- 658
Umetaja Marekani kuwa huwa wanacharge pesa nyingi kwa ajili ya collabo ili kumaintain status na kutojiweka cheap
Lakini sio publicly unasema sitafanya tena collabo(wether eternal or for short time) thats my point
Na kuhusu management sijawahi kuamini kama yule Tale au Mkubwa ndo wamefanya Diamond afike hapo ni Collabo yake na Davido ndo ilimtoa thats all!
we jamaa ni mzito sana wa kuelewa mambo,chibu hajasema hataki tena kufanya kolabo,bali kasema ana sitisha kwa muda.