Dejane
JF-Expert Member
- Jan 1, 2014
- 50,587
- 71,492
Weee ni over 35 kama si 40. Kwa kuwa tu humpendi Wema usihalalishe hata pale diamond anapobug. Mbona mimi wema akikosea ninasema?? Wanawake kibao mjini wenye hela zao na wanaonekana vijana kwa kujitunza. So with money kila kitu sawa.
Ndio ukubalii tuuu kua Zari mzurii ni mrembo hakunagaaa,jamani warumi hivi yuko wapi jamaniii
Eeehe shoga hata wema kamzidi miaka Daimond, acha Daimond ale ujana jamaniiii, na ndo ujue kirungu cha Dai si mchezoo
Huyo Mange alie na wema tu eti ana libwana linampa mapene tu ndio asijifanye kulia lia sasaa maana mabwana anao,acha Dai nae awe nao tu.
Last edited by a moderator: