Diamond atanua na Diva tajiri East Africa nzima

Toka daimond Alivojipumzisha kwa Kidoti kuaanzia hapo nikasema kumbe wanawake wote ni grade moja tuu so hakuna kinachoshindikana mkuu

Mwanamke atatembea na Mwanaume as long ana dudu!
 
Utajiri WA mu Africa huo Wanawake. Hatufikirii Ku invest kwenye miradi ya maana sisi tunawaza papuchi tuu
 
dah mkuu umejionea plate no. zake kila gari zina gna lake hana njaa ya pesa huyu diva hata we anakuonga

Kama biashara yake ni boutique tu nakataa hizi plate number hata mimi naweza chongesha zikaandikwa Matola.
 
Dangote piga huyooo akugandeeer lazima adate na kirungu chezeaaaaaaaaa,pesa ni zake k ni mali ya jamii
 
Wala sina team mpnz ila ninachojua zari alipanda Ndege moja na dai...walikutana ndani .... Tyeena anakuja kumuona mtoto wa sintah....how sweet.

Hapo lazima wamebadilishana namba mi namuaminia chibu haiishii selfie tu hapoo ni zaidii
Hivi mbona sinta anaficha mtoto halaf amezaa nani???
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…