Huyu Matola hua anaudhii huyuu sijui hajanywa chai kwa baba yake, siku nyingine atakujibu vizuri siku nyingine akiamka kavuta bangi za makalio atakupanda kichwani huyooo
Ndio hivyoo siku hizi ndimu haiondoi kichefuchefu unaweza maliza magunia lusungo njoo umpe pesa ya chai Matola ananisumbua kweli hukuu
Unafikiri nakataa basi!! Ndio maana nikasema kila palipo na papuchi patahitaji dushelele na hakuna fixed terms kwa kumechisha hizo mambo... always vigezo na masharti hubadilika kutegemeana na mazingira... ndo pale unakuta mkata majany mifigo anamega mzigo wa boss wake!NasDaz hapo chibu lazima apigeeeeeeee hakunaga chezeyaaaaaa tutasikia soon mimi mtabiri ndo nishasemaaaa
mi ndio maana siwezi gombana na wanawake mna maneno ya kuudhi sana
Wanaruhusiwa... naomba uwe rafiki yangu!hivi watu hawaruhusiwi kuwa marafiki
Haha na wala usipende jibizana na wanawake utakuwa huna tofauti na le mtumbazzz
Hahahaaaaaaaa.....Dina umeshindikana....khaaaaa....
Ah,kumbe picha ni ishu!!?
Basi mkongwe le billionaire atakuwa keishapiga pale.p
Sent from my radio
Le Billionare hana shida na mtu ni old boy anafanya maisha yawe meaningful, hata tunapompiga madongo ni kunogesha radha tu.
Barafu la moyo cool down,dah sikuwa najua kama una hasira hiv ka wema kapigiwa "mwanawe"
Hata suku 1 diamond hawezi mpiga huyu demu. Huyu demu ana hela chafu ata diamond hafikii hapo, ana ma boutique south africa huko ni balaa na maduka ya cosmetics dinga ndio usi seme we una dhani ana chapika kirahisi huyu. Zaidi labda aliona diamond ni msanii na ni maarufu na wote wako ndege moja sio mbaya waki piga selfies. Basi ndio mchezo ukaishia hapo... Afu kitu kingine, msije mka jidanganya eti diamond ata kuja kumuoa wema hio haipo, pale ana piga tu basi na yule demu ana jua hamna ndoa hapa ni funyox tu.
Kuwa happy ndo mpango mzima bila kujali watu wanasema nin
Kwahiyo kumbe ulikuwa unatishia kwa simba wa karatasi? Arrrgh, mi ushaniuzi... mi nilidhani uko siriasi!Eeeee jidanganyeeee hhhhhaaaaaaa utaishia niona humu tu
DIAMOND MIAKA MIAAAA WAKUWAAACHEEEEE FROM ZERO TO HEROOOOOOOOO
MADEMU WAKALE DIAMOND
NGOMA KALEEE DIAMOND
LAZIMA WATU WALAMBE TIGOOO
ndo nshasema hutakiiii pita hiviiiiiiii=====>
Na popote akiongelewa Dai nakuja ukiona nakukera kama kawaida tupia ignore kwa ambao mshazoea kuweka id ignore list mi siweki mtu
Muuza Sura nisaidie kuwaambia hawa vichwa vya gogowewe kweli watoto wa kike huwajui?yaani kiujasiri kabisa unaandika maneno hayo..dah!....sasa ndo naanza kuelewa kwanini wanaochapiwa huwaua wanaowachapia!...hii ni moja ya sababu kudhani mwanamke wa aina flani anastahili kugongwa wa design flani!
Kwahiyo kumbe ulikuwa unatishia kwa simba wa karatasi? Arrrgh, mi ushaniuzi... mi nilidhani uko siriasi!