Diamond atanua na Diva tajiri East Africa nzima

Diamond atanua na Diva tajiri East Africa nzima

umekatazwa kumpenda kwanii...?!
aiseeh...!!
punguza maneno my dear am telling..!!
vitu vidogo sana!!
hawa watu wa humu with fake ids wasikupe presha hvyoo
ht km hawakulishi,hawakuvishi na hawakujui
pleaseee dina(am sory if u caught me wrong)

Hakuna anaenipa preshaaa,nimerelax kabisaaaa, na hujui tulipoanzia,haiwezekani nitaje Dai mtu achanganyikiwe vidole na kutype mavi,, maneno tumeumbiwa ni kawaida tu kwa binam maana silipii vat halaf usijifanye mshauri sana
We pita tu kama hujaona,
 
shogangu punguza mdomo mchafu llooooohhh...!!!

Eeee unafiki huu yangu tu umeona machafu eeee
Kisa tim moja eeeeee ,nifanyieni surgery ya mdomo kwanza siongei na mdomo humu ninaandikaaa
Halaf stak ushaurii
 
Hakuna anaenipa preshaaa,nimerelax kabisaaaa, na hujui tulipoanzia,haiwezekani nitaje Dai mtu achanganyikiwe vidole na kutype mavi,, maneno tumeumbiwa ni kawaida tu kwa binam maana silipii vat halaf usijifanye mshauri sana
We pita tu kama hujaona,

nimeona sana mlipoanzia anaekwambia ukweli anakupenda japo hatujuani wangu
ishu sio team moja wala mbili
na wala siwezi kukupangia ya kuongea
kwa sababu ht bundle sikuchangii
ila sio kila ndio ni ndio ya ukweli
 
nimeona sana mlipoanzia anaekwambia ukweli anakupenda japo hatujuani wangu
ishu sio team moja wala mbili
na wala siwezi kukupangia ya kuongea

sitaki,,,, sitaki ushauri
Mi sipo nusu wote wanaokwazana humu hua unawashaurii!!!!
 
Eeee unafiki huu yangu tu umeona machafu eeee
Kisa tim moja eeeeee ,nifanyieni surgery ya mdomo kwanza siongei na mdomo humu ninaandikaaa
Halaf stak ushaurii

whatever is excellent
u may take it or leave it
sawa mine
siwezi kuwa adui kwa hilo
 
Eeee unafiki huu yangu tu umeona machafu eeee
Kisa tim moja eeeeee ,nifanyieni surgery ya mdomo kwanza siongei na mdomo humu ninaandikaaa
Halaf stak ushaurii

Haha hahahaaaah si unasemaga hutokwi povu wewe?leo imekuwaje?
 

Attachments

  • 1415352974176.jpg
    1415352974176.jpg
    55.7 KB · Views: 362
Afadhali mie we kibokooo,leo nimemeza omo,,,,
Basiii yaishe tupige domoo hapa baraza la raha,huyo Diamond hata hatufahamiani naye,vikombe pia hugongana(sio ushauri usije ukanimeza bure)
 
Afadhali mie we kibokooo,leo nimemeza omo,,,,

Jamaniiiiii....Mimi tokea nimeingia JF nimewahi kukasirika siku 1 tuu na nilishasema sina time tena....wewe umewahi kuwa na ligi ngapi?
Tuyaache hata hivyo....nimecheka tu ulivyomwagika...
 
Back
Top Bottom