Na anyamaze kweli maana ligi haiweziHayo maneno si mazur kabisa kuongelewa na mtu kama yeye,na hakuna sehem yoyote aliyotajwa na Ommy kuwa ana roho mbaya namshaur Ommy anyamaze kimya hili suala litapita tuu
diamond hana wivuDaah, Ommy kama anayosema ni kweli kwa mujibu a XXL basi domo ana wivu wa kishamba
Kwani Diamond ana tatizo gani awe na maadui kiasi hicho? mara kiba, mara Davido, wema, Jokate bila kusahau baba yake mzazi wote wamemkosea? Diamond siyo malaika acheni kukumbatia ujinga na mkumbusheni Hakuna kinachobaki juu daima matabaka anayojiwekea leo ndo yatakayomuangamiza
Mambo ya team achia watoto wa kike wewe, mwanume unatakiwa upende mziki wa mtu au uuchukie mziki wa mtu, sio vigezo vya kumpenda au kumchukia anaeimba. Nyie ndo mnabandika mapicha ya wanaume wenzenu kisa mie team nyoko sijui.Hawa waha wawili cku hiz wanatk kua kam wamekula vima nilkua namuheshimu mond na nilkua team yake asilimia 75 na kiba 25 sasa rasmi mimi ni timu kiba originali till now anajishusha sana mbna mwenzie hana makuu
Hawez mond mswahili sana na sallam nae ni kibokoNa anyamaze kweli maana ligi haiwezi
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Haya mwenye kichwa kilcho jaa
Umefanya nini?
nimeshangaa hilo swali kwanini hawakumuuliza pale pale!sasa mimi nashangaa
kwani davido alivofanya collabo na chibu kakimbia?
au iyanya kaacha mziki?
si akafanye nae na yeye?!
ommy anataka kujifanya kama innocent alionewa ...
kila kitu kina mipaka bwana sio kufatana fatana kama wanawake!
halafu sasa kama diamond angekua na roho mbaya asinge wasainisha kina rich mavoko akawakuza!
diamond hajaziba ridhiki ya mtu yoyote.. mwenye kutaka kwenda international aende kimpango wake jamani njia siwanazijua?!
urafiki sio mpaka kwenye kazi! muziki ni ushindani kila mtu lazima afiche karata yake..
yeye ommy alitaka kubebwa mpaka lini??
Maisha ya mtu yeyote hayanihusu. .si Diamond, si Ommy wala yeyote yule. .ukiwa na hasira na maendeleo ya wanaokuzunguka unaweza kuwa mchawi... nani alikwambia masikini atabaki kuwa masikini? jipange na wewe utatoka lakini si kwa kuombea mabaya walio jaribu bali kwa kuiga mazuri yaliyo wafikisha hapoKwani Diamond ana tatizo gani awe na maadui kiasi hicho? mara kiba, mara Davido, wema, Jokate bila kusahau baba yake mzazi wote wamemkosea? Diamond siyo malaika acheni kukumbatia ujinga na mkumbusheni Hakuna kinachobaki juu daima matabaka anayojiwekea leo ndo yatakayomuangamiza
Ila habari ndo hyo mkuu hyo ni mawazo yako nackiliza muzik wa pand zote ila kwa kaul za mond hazijanifurahisha hata kidogoMambo ya team achia watoto wa kike wewe, mwanume unatakiwa upende mziki wa mtu au uuchukie mziki wa mtu, sio vigezo vya kumpenda au kumchukia anaeimba. Nyie ndo mnabandika mapicha ya wanaume wenzenu kisa mie team nyoko sijui.
Imepenya hyooo povu la cocktail linakutokaNenda kafie Mbele
Ndiye mnaye mtuma achokoze watu apate buster.
I Have catch ya pointDunia ya sasa imebadirika sana hata tukiachana na habar za mond na ommy,ukitaka kuishi kwa raha mambo yako ya mafanikio au mipango yako heri uwaambie baba na mama kama hujaoa,au mshirikishe wife au husb au ndugu wa tumbo moja basii,wengine hawapaswi kujua wanapaswa waonee tuu kitu kimeishatendeka umdhaniae ndie kumbe sie na urafiki haufai kbs siku hiz
ILLUMINAT
Sawa mkaka wa team kiba, kanunue na tisheti yenye picha yake kisha nunua na mapicha yake kabandike na geto, kwenye profile picha ya FB yako weka picha yake na kwenye wasapu yako pia, kwenye simu weka muito wa nyimbo zake tu.Ila habari ndo hyo mkuu hyo ni mawazo yako nackiliza muzik wa pand zote ila kwa kaul za mond hazijanifurahisha hata kidogo