Diamond atoa ofa ya watoto 10 kwenda South Africa kwenye Birthday ya Tiffa

Sky Eclat

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2012
Posts
57,761
Reaction score
216,011
Nimeiona instagram, Diamond ametoa offer ya watoto 10 wakiambatana na wazazi wao kwenda kujumuika na Latifa katika sherehe yake ya kutimiza miaka mitatu ya kuzaliwa.

Ninahisi mmoja wa watoto atakuwa Taraji akiambatana na wazazi wake Petit man Wakuache pamoja na Esma Platnums.
 
Usishangae kumuona Le Mutuz akichukua nafasi ya mtoto mmoja
 
Ungeleta habari nzima ya alipoanzia juu ya hiyo safari ingenoga zaidi na kueleweka kwa wengi.
 
Ujinga tu iyo pesa si apeleke vitu vya watoto yatima


Shetan bana, yupo radhi mnunulie pombe lkn asikununulie hata kibaba cha unga
pesa yake huwezi kumpangia matumizi, ulimsaidia kutafuta!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…