unatakiwa ufaham huyu ni celebrity na pia ni rafiki wa mfiwa na msiba wenyewe ni baba, kitendo cha kua celebrity kunaendana na social responsibility ndio ma celebrity wa kibongo hawajui ilo, usiulize yy kama ameenda tunazungumzia celebrity diamond platinumz sio pangu pakavu kupata kuna mungu kama wewe!!!
Sasa kama upuuzi huu ana uongea mtu anayejifanya anampenda Diamond kweli? Huu ni unafiki kabisa ...Dully ni mjinga nani amemwambia kuwa Diamond hakuja kwasababu aliogopa kutoa hela? ina maana wote ambao hawakuja walihofia kuombwa hela na Dully! Dully amechanganyikiwa.
Hii social responsibility ni kwa Diamond tu kwenda kwenye misiba, ila kwenda kumjulia hali mama wa Diamond siyo social responsibility?
Kwa kweli ile na aliyoongea kwa TV makaburini/msibani kulalamika ni duh. Na Diamond nimemsoma alimpigia simu.
Kweli unavyosema ana yake zaidi...moja lazima kumchafua kasubiri chance ije kamwaga aliyotaka kumwaga tangu apange kumchafua achukiwe ashuke ....
Hakika Diamond ana hitaji msemaji...
hata huyu dully anahitaji msemaji ili kuzuia kuropoka ropoka maneno ya kichawi muda wote😡
Alihudhuria
Picha tafadhali