Tetesi: Diamond avunja ndoa ya Shetta na mkewe

Tatizo wanaume wa mikoani wanatamani sana kuja Dar sema hawana uwezo, dar wanaiona kama los Angeles, hapana chezeya jiji la kina warumi, na bado watoto wa dar tutaendelea kuwapa homa watoto wa sitimbi
Ha ha h tutake radhi sisi wakulima
 
Yule bint ni mrembo mno namjua sijui hata nimfananishe na nani urembo wake na naijua familia yake . Walipinga sana kuolewa na sheta bint wawatu akaacha chuo ifm mapenzi yalimkolea akaaribu career yake.
Acha uongo yule alikuwa ni mwanafunzi wa cbe kumbe hata humjui unatupiga chai tu
 
Pale unapopata mnyonge wako , unamyonga tu, Chibu thats not fair kk, f tc true
 
kumbe msanii shetta ni wa kiume!?nilijua ni kama shilole
Lord av mercy on you!! Kauli ako inatia shaka pia kwa jinsi yako coz inaonekana huwez kutofautisha kati ya male and female, sidhan km na ww unajijua upo kwny kund lip jichek!! Note::unapozungumzia biological differences"sex" tunasema "jinsi"na sio jinsia
 
Kwa hiyo diamond na sheta itakua kama OMMY dimpoz na diamond tena sasa na yeye sheta kwani hana kwake mpaka awe anaenda kushinda na mkewe kwa diamond wakati MKE wake amejazia kuliko zari
 
Mkuu asante sana kwa kunichekesha.....
 
dah ni muda mrefu tangu wakwazane na mpenzi wake, sidhani kama kuna chance ya wao kurudiana.
 
Mama qylaah ni mzuri sema yule binti ni malaya sana jamani, amegongwa na wanaume wengi sana,pale sheta kachemsha kwa kweli
Shikamoo Warumi...Kipindi hicho niliwahi kupita naye one night stand.Tukapotezana.Nimekuja jua mke wa shetta kwenye huu uzi.Uko vizuri mzee.Yule ilikuwa pesa yako tu.Anway atakuwa katulia
 
lazma huyu kaibiwa diamond mbayaaaaaa kwa saut ya joti
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…