pakaywatek
JF-Expert Member
- Dec 28, 2014
- 4,660
- 6,282
Kama ujanielewa endelea kutokuelewa hivyo hivyo.umeandika nini sasa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama ujanielewa endelea kutokuelewa hivyo hivyo.umeandika nini sasa
ahahaha hapana chezeya wanaume wa darHaaaaaa wanaume wa Dar katika ubora wao lols.....
Mama qylaah ni mzuri sema yule binti ni malaya sana jamani, amegongwa na wanaume wengi sana,pale sheta kachemsha kwa kweliYule bint ni mrembo mno namjua sijui hata nimfananishe na nani urembo wake na naijua familia yake . Walipinga sana kuolewa na sheta bint wawatu akaacha chuo ifm mapenzi yalimkolea akaaribu career yake.
Binamu huyo domo alikua anakula leila kitambo tu, alikua anamgongea mburahat kwa shoga yake leila, tena kipindi hiko alikua ana mimba ya qylah, na inasemekana huyo mtoto sheta sio wake binamu, yule mwanamke ni malaya then anapenda sana kuomba pesaHaaaa binamu atakua anakula chips zege akirudi atakua na uvuyu wote......
Tatizo wanaume wa mikoani wanatamani sana kuja Dar sema hawana uwezo, dar wanaiona kama los Angeles, hapana chezeya jiji la kina warumi, na bado watoto wa dar tutaendelea kuwapa homa watoto wa sitimbiHivi wanaume wa Dar wana nini shemeji? Mbona wanasemwa sana siku hizi??
binamu kisa umeachana na shemej na wewe unataka wenzio waachaneUjinga ujinga tu,waachane tu kwani kitu gani bwana.
ahahah, naona mnawataman sana wanaume wa dar eeh? tunawapa homa, sasa mnatufuatlia nn wanaume wa dar? fuatilieni mambo yenu ya kijijini, ya dar hamuyawezi nyieUmbea sasa imekua kazi.
#Wanaume_wa_Dar_mbadilike
Wanaume wa darisalaama kazi kupaka podaWanaume wa Dar.
Inasemekana Diamond amevunja ndoa ya Baba Qayllah na Mama Qayllah baada ya Diamond kuwa na uhusiano wa siri na huyo mwanamke.
Baada ya Shetta kujua hili alipatwa na hasira, inasemekana alitaka kufuta picha zote alizoweka kwenye mtandao wa kijamii wa Instagram lakini akajistukia watu watauliza kulikoni. Alichofanya ni kufuta picha zake zote kwenye akaunti yake ya Instagram na kuanza upya kupost.
Kwa wale wambea na wanaume wa Dar unaweza kucheki kwenye akaunti ya Shetta na kushuhudia video moja ya Shetta. Pia mama Qayllah kwenye profile ameweka picha ya Diamond na Qayllah.
Hayo ndio yaliyojiri kwenye ''You Heard''
Haachwi mtu binamu....binamu kisa umeachana na shemej na wewe unataka wenzio waachane
Si Bure utakua ushapata mwingine sasa yy unaona hafai tenami mke wangu nikimfumania atakuwa kanisaidia jinsi nilivyomchoka
Aiseee!Mke wa Shetta kapost hii kitu leo
![]()
Hahahaah kumbe wanaona wivuTatizo wanaume wa mikoani wanatamani sana kuja Dar sema hawana uwezo, dar wanaiona kama los Angeles, hapana chezeya jiji la kina warumi, na bado watoto wa dar tutaendelea kuwapa homa watoto wa sitimbi
Ingekua ndivyo hivyo basi hata neno "Plural" yenyewe ingekua ina "s" mwishoni kumaanisha kua ni wingiMwenzako si kaweka plural? Au si unaongeza tu 's'