Kitombise
JF-Expert Member
- Sep 24, 2013
- 8,575
- 25,619
it means "men of Dar" typing errorUlimaanisha nn hapo mkuu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
it means "men of Dar" typing errorUlimaanisha nn hapo mkuu?
Wanaume wa Dar.
Inasemekana Diamond amevunja ndoa ya Baba Qayllah na Mama Qayllah baada ya Diamond kuwa na uhusiano wa siri na huyo mwanamke.
Baada ya Shetta kujua hili alipatwa na hasira, inasemekana alitaka kufuta picha zote alizoweka kwenye mtandao wa kijamii wa Instagram lakini akajistukia watu watauliza kulikoni. Alichofanya ni kufuta picha zake zote kwenye akaunti yake ya Instagram na kuanza upya kupost.
Kwa wale wambea na wanaume wa Dar unaweza kucheki kwenye akaunti ya Shetta na kushuhudia video moja ya Shetta. Pia mama Qayllah kwenye profile ameweka picha ya Diamond na Qayllah.
Hayo ndio yaliyojiri kwenye ''You Heard''
mens....!!???[emoji15] mens of Dar again...!!!
Mwenzako si kaweka plural? Au si unaongeza tu 's'mens....!!???
[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13]Rasi simba hajafika mikoani
Binamu we uko wapi vile...
Kaka umetufedhehesha wanaume wa mikoani asee..[emoji15] mens of Dar again...!!!
Usikute hujaoami mke wangu nikimfumania atakuwa kanisaidia jinsi nilivyomchoka
umbea hapa mjini ..unaraha take ni kama kushangilia soccer.. Acheni kutuandama bwaana.. do you know swagz???? hakika hamzijui ndo maanaa mnazihirisha ushamba..Haaaaaa wanaume wa Dar katika ubora wao lols.....
swag.....!!!???umbea hapa mjini ..unaraha take ni kama kushangilia soccer.. Acheni kutuandama bwaana.. do you know swagz???? hakika hamzijui ndo maanaa mnazihirisha ushamba..