kamwambie ilianza kisikika kabla ya 2009 na jamaa nyota ilianza kuwaka rasmi tangu enzi za ngoma yake ya jisachi na geez mabovu
kamwambie ilianza kisikika kabla ya 2009 na jamaa nyota ilianza kuwaka rasmi tangu enzi za ngoma yake ya jisachi na geez mabovu
Miaka 6 hiyo acha uboya,alafu kamwambie ilitoka 2008 au 2009?,unatufanya watoto sio
miaka 7 ndani ya game bila kuchuja haijwaji kutokea katika historia ya mziki wa bongo kutoa hits kuanzia mwanzo mpaka mwisho mfululizo
1.kamwambia 2008
2.mbagala
3.nitarejea
4.kesho
5.lala salama
6.muziki gani
7.number one 2014
na colabo za kutosha
usijifanye hujui na bado atakua ndio msanii wa kwanza kuchukua tuzo zaidi ya moja kwa mkupuo chanell o
miaka 7 ndani ya game bila kuchuja haijwaji kutokea katika historia ya mziki wa bongo kutoa hits kuanzia mwanzo mpaka mwisho mfululizo
1.kamwambia 2008
2.mbagala
3.nitarejea
4.kesho
5.lala salama
6.muziki gani
7.number one 2014
na colabo za kutosha
kufanya kama alivofanya iekutangulia au kumzidi alietangulia
fid q mara ya mwisho katoa hit ni lini vile
jamaa katoboa tena haijalishi katumia njia gani
miaka 7 ndani ya game bila kuchuja haijwaji kutokea katika historia ya mziki wa bongo kutoa hits kuanzia mwanzo mpaka mwisho mfululizo
1.kamwambia 2008
2.mbagala
3.nitarejea
4.kesho
5.lala salama
6.muziki gani
7.number one 2014
na colabo za kutosha
jamaa katoboa tena haijalishi katumia njia gani
Kamtoboa nani? Labda wewe.. anachokifanya sasa TID kafanya kitambo sana. Achilia mbali QChief Banana Zorro