kende
JF-Expert Member
- Dec 2, 2013
- 3,527
- 1,668
kamwambie ilianza kisikika kabla ya 2009 na jamaa nyota ilianza kuwaka rasmi tangu enzi za ngoma yake ya jisachi na geez mabovu
2008 labda alikusikilizisha wewe pekeako geto,kwenye media imeanza kusikika kwenye 3/4 ya 2009.Hiyo Jisachi ft Mabovu & Ngwea ndo ilitoka 2008 nadhan but haikumtoa