Mayu
JF-Expert Member
- May 11, 2010
- 7,621
- 12,505
Sote tunajua Mohamed Dewji amitisha mkutano wa hadhara kuwajulisha wananchi wake mambo aliowafanyia katika kipindi cha uongozi wake.
Kwakujua sasa anahitaji attension kubwa amemualika Diamond kama mtumbuizaji na kufanya karibu mji mzima wanaopenda muziki haswa vijana na watoto kuvunja rekodi ya kujaza umati wa watu katika viwanja vya wazi peoples club.
Ukweli ni kwamba umati huu haujaelewa chochote zaidi ya kutaka kumuona Diamond akifanya yake ulingoni.
View attachment 266589
Kwakujua sasa anahitaji attension kubwa amemualika Diamond kama mtumbuizaji na kufanya karibu mji mzima wanaopenda muziki haswa vijana na watoto kuvunja rekodi ya kujaza umati wa watu katika viwanja vya wazi peoples club.
Ukweli ni kwamba umati huu haujaelewa chochote zaidi ya kutaka kumuona Diamond akifanya yake ulingoni.
View attachment 266589
