Viol
JF-Expert Member
- Dec 15, 2009
- 25,420
- 18,298
Vp kiba mzma
Siishi naye
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vp kiba mzma
et kajaza show wakati ni bureeeee dogo anapenda sana show off zitamcost one day
et kajaza show wakati ni bureeeee dogo anapenda sana show off zitamcost one day
et kajaza show wakati ni bureeeee dogo anapenda sana show off zitamcost one day
Kweli nimeamini pesa mwanaharamu, Hatime billionea dewji amfanya Diomond kukata viuno jukwaa mwezi mtukufu wa ramadhan.
Hayo yametokea leo kwenye mkutano wa kisiasa huko Mkoani Singida.
Kwa utamaduni na hekima wasaaniii wengi mwezi huu hukaa pembeni na kumwabudu zaidi mungu.
Daimond pesa zipo umechemka.
Watu wanamtetea,wanampenda diamond zaidi ya dini
Et show off we unajua dewji kamlipa tshs ngapi ela aliopewa n dewji Leo kiba kuipata n hadi December aunge unge n show za fiesta
Basi kwa nyie wenzetu wenye upeo naomba mfungue nyuzi za kupinga muziki maana dini hairuhusu kabisaaaaaaa, hapo ndio naona umburula mnaona dini ni mwezi mmoja tu??? acheni ukuda hapa Mwenyezi mungu sio mdogowako umdanganye kihivyo tuoneni hata aibu wakati mwingine, ni bora tu hayo mambo aachiwe kila mmojawetu yeye na nafsi yake....
Umeckia wapi mkutano wa siasa una kiingilio
kiba hana njaa na anafanya mziki kipaji ndo maana hayupo sirious kwani c aliitwa arusha na lowasa akachomoa huyo wanapiga pesa kina babu tale tu
si wenzako wamesema kajaza ukumbi au umekurupuka tuu hayo mambo ya siasa na mziki muulizen marlow atawasimulia na misifa yake hiyo
Basi kwa nyie wenzetu wenye upeo naomba mfungue nyuzi za kupinga muziki maana dini hairuhusu kabisaaaaaaa, hapo ndio naona umburula mnaona dini ni mwezi mmoja tu??? acheni ukuda hapa Mwenyezi mungu sio mdogowako umdanganye kihivyo tuoneni hata aibu wakati mwingine, ni bora tu hayo mambo aachiwe kila mmojawetu yeye na nafsi yake....
Ndio kaja diamond unadhan angeenda dewji pekee yke uwanja ungejaa ivyo kajaza diamond uwanja huo
sijakataa kwani nimesema hajajaza tatizo lako ww kedrick ni moja tu yani unaandika kwa jaziba kama mtu unamuona live ok u hv won a competition but notat all&!!
😀😀😀😀😀 et alichomoa sio Ali chomoa aliogopa maana alijua dimond atakuwepo et kiba Hana njaaa alisema atafanya chekecha tour tz nzima mbona alifanya moshi n arusha ndo tz nzima unajua kwann haikuendeleea
😀😀😀😀😀 et alichomoa sio Ali chomoa aliogopa maana alijua dimond atakuwepo et kiba Hana njaaa alisema atafanya chekecha tour tz nzima mbona alifanya moshi n arusha ndo tz nzima unajua kwann haikuendeleea