Thanks kwa kuwapa elimu...That was not in response to Kiba's fans. Embu fanyeni hata research au kufuatilia mambo before writing stuff kama vile una proof. Do you remember the time Diamond alipost hii nyumba akasema amemnunulia Zari? Do you remember how many people walitokwa na mapovu kusema sio yake na kwamba iko kwenye market? Do you remember watz walipiga simu South kwa Estate Agent? Akina Mange Kimambo walivyoshangilia kusema Dai hawezi afford kununua hiyo nyumba?
Do you remember? Well, this post is to all those people who doubted him. Nothing to do with Kiba or stupid Ali Kiba fans. ( Ali is not stupid but most of his fans who hate Diamonds are)
Diamond ameamua kuonyesha uswahili wake kw wale walikuwa wanasema hana uwezo wala hawezi nunua nyumba south africa
Picha inajielewa zaidi
View attachment 424255
View attachment 424256
South tu mnabwata je angemiliki nyumba dubai
Wape vipande vyao hawa wasio hata na mabanda ya kuku. kutwa kuponda wa tz wenzao wakifanya mema. wabongo tuna shida sana. nimekupenda bure chigeWabongo bhana, lazima watafute pa kutia kasoro ili mradi tu kujifariji!! Eti south nyumba bei rahisi... mtu anaongea haya kwa namna ya kuponda wakati wao hata kibanda cha chumba 2 Bunju au hata Mbande hawana!! Wivu mwingine bhana wala hauna maana....! Wengine oh, kakosa tuzo... kwani ni mara yake ya kwanza kukosa tuzo? Ajabu, hao ni wale wale ambao walikuwa wanabisha kiasi cha wengine kutaka ushahidi wa hati... leo mnaoneshwa baba mwenye nyumba kaingia mjengoni mwake; hamtaki!!
Mtakufa maskini kwa ajili ya nafsi zenu kutawaliwa na husuda!!
Kamiliki na ww south, kama unaona ni pipi hiyoSouth tu mnabwata je angemiliki nyumba dubai
Huna hoja. Sibishani na small minds. Bye [emoji2]
Get lost. Sibishani na wapuuzi. Byee
nakubaliana na wewe! ila kwa njuavyo mimi south huwezi nunua nyumba hadi umepewa permanent residence permit vipi kijana anayo au manuva flani!!!South nyumba bei chee kuliko Tanzania hasa maeneo ya kitajiri, Tanzania Dar kun maeneno nyumba ya kawaida usd 200000, south unanunua hekalu kabisaaa. So ni uamuzi nafuu kwake kama mwanamuziki, itamsaidia... ila inaonekana kijana anaanza kuwaogopa kina nanilii
Mkose tuzo na ninyi muonyeshe zenu jaman!Vipi baada ya kukosa tuzo sasa ameamua kuonyesha picha ya nyumba sio!
Mtvmama2016 Kiboko ya maumivu
[emoji2] Look at this fool. Retarded individual!!We si ndo mpuuzi unashabikia watu tena vere stupid zaidi ya chu.pi yako ya bleed
Lakini unaamini kuwa pesa ya kununua hiyo nyumba anayo,ila makaratasi ndio huamini kama anaweza kupewa ...........Nina amini unazo akili za kunijibu.Nilidhani ningekuta makaratasi ya manunuzi.
Chamuhimu kuwa nacho ni hela au makaratasi ya hati.?Lakini unaamini kuwa pesa ya kununua hiyo nyumba anayo,ila hati ndio huamini kama anaweza kupewa ...........Nina amini unazo akili za kunijibu.
[emoji2] Look at this fool. Retarded individual!!
[emoji2] Look at this fool. Retarded individual!!