KakaJambazi acha kuwaza kijambazi muda wote,kwani na wewe unatatizwa na kipi ........Hana pesa ya kununua hapo,au kanunua ila kanyimwa/hataki hati ............ (jibu kwa kuelewa kabla ya kuuliza tena,ualimu si huwezi)Chamuhimu kuwa nacho ni hela au makaratasi ya hati.?
Mi nilidhani alitakiwa aonyeshe makaratasi zaidi. Make hata mi video ya hiyo hiyo nyumba naweza piga na nikaiweka humu.KakaJambazi acha kuwaza kijambazi muda wote,kwani na wewe unatatizwa na kipi ........Hana pesa ya kununua hapo,au kanunua ila kanyimwa/hataki hati ............ (jibu kwa kuelewa kabla ya kuuliza tena,ualimu si huwezi)
Kwa kweli ni mshamba wa kutupa,wenzake kina prezo,jaguar hawanaga hizo mambo labda had wafanyiwe interview ila yeye aisee,elimu elimu elimu.Haya mambo ya kitoto anayoyafanya Diamond yanampotezea sana mashabiki wastaarabu, yeye ni msanii mkubwa anayeheshimika Africa atajibishanaje na mafans wa Kiba, ujinga mtupu anaoufanya.
poleni , kwa kupatwa kwa mtvmama ..Mkose tuzo na ninyi muonyeshe zenu jaman!
Uko siriazi sana na mambo ya mitandaoni,cheki unavyotokwa na maneno makali.Muda sio mrefu mtakuja hapa kuomba michango mkamtibie huyo ndomo huku sauzi
Uko siriazi sana na mambo ya mitandaoni,cheki unavyotokwa na maneno makali.
Na ndio maana nilikuambia acha kuwaza kijambazi,ona sasa,yaani inaonyesha hii ishu hujui chochote mwanzo wake hadi hapo lilipofikia........Wenye chuki nae walishachokonoa hayo yote na hivi sasa hawaangaiki na hati.Mi nilidhani alitakiwa aonyeshe makaratasi zaidi. Make hata mi video ya hiyo hiyo nyumba naweza piga na nikaiweka humu.
Kweli Kabisa..Muda sio mrefu mtakuja hapa kuomba michango mkamtibie huyo ndomo huku sauzi
Zile tuzo za idara ya maji pale NYC bado hazijatua mkuu?Na ndio maana nilikuambia acha kuwaza kijambazi,ona sasa,yaani inaonyesha hii ishu hujui chochote mwanzo wake hadi hapo lilipofikia........Wenye chuki nae walishachokonoa hayo yote na hivi sasa hawaangaiki na hati.
We akili yako ndogo sana, haina hata uwezo wa kupambanua mambo,sasa kama unaona hivo vitu vinakukera si ndio ukiviona vipotezee,au huwa unaitwa kukomenti...... Sisi wenzako humu JF ni sehemu ya kujiburudisha,kuelimika na kuongeza maarifa, vya KIJINGA tunaviacha humuhumu.Maneno makali how??
Au ukweli unauma?? Mnaboa ndo maana mapunga yanaongezeka huko dar
Mind your own biz, Mara Nyumba Mara tuzo mara ana billions kuna yote hayo ya nini??
Zipi hizo mkuu......??Zile tuzo za idara ya maji pale NYC bado hazijatua mkuu?
We akili yako ndogo sana, haina hata uwezo wa kupambanua mambo,sasa kama unaona hivo vitu vinakukera si ndio ukiviona vipotezee,au huwa unaitwa kukomenti...... Sisi wenzako humu JF ni sehemu ya kujiburudisha,kuelimika na kuongeza maarifa, vya KIJINGA tunaviacha humuhumu.
Najua ninachoongea bongo kila kitu ni kuover rate,mfano Wema aliwaonyesha nyumba ya millioni mia moja na nusu ambayo siyo yake na kuwadanganya ni ya milioni mia tano.kwanza nampongeza dangone kwa kununua south,unatumia bilioni kununua nyumba bongo alafu umeme wenyewe wa mgao.Mkuu hujui unaongea nini
Na kupatwa kwa Nyumba ya mtu south wengine roho znawauma!! [emoji38][emoji38]poleni , kwa kupatwa kwa mtvmama ..
Haya mambo ya kitoto anayoyafanya Diamond yanampotezea sana mashabiki wastaarabu, yeye ni msanii mkubwa anayeheshimika Africa atajibishanaje na mafans wa Kiba, ujinga mtupu anaoufanya.
Acha basi,mana unazidi kujifedhehesha,kama hujui maisha ya watu yana saidia kukupa nguvu ya kufanya mambo basi hata elimu yako sikuulizi. Hujui kuwa kuna watu wameandika vitabu na kutengeneza movie zinazohusu maisha ya watu na wanapiga pesa .......??Akili yangu ndogo sawa hayo ni maoni yako, kupambanua mambo ya maisha ya watu ndo mnapenda tafuta kazi ufanye
[emoji2] Look at this fool. Retarded individual!Tuzoo tuzooo Mara Nyumba ya ndomo kwendraaaa kafie getto
We unakaa Nyumba ya kupanga bongo huko unashabikia vya wengine tafuta vyako utakufa maskini kwa ushabiki maandazi
[emoji2] [emoji2] [emoji2] Look at this fool. Retarded individual!Muda sio mrefu mtakuja hapa kuomba michango mkamtibie huyo ndomo huku sauzi
Hahahahaa you think those guys have more money than Diamond?Kwa kweli ni mshamba wa kutupa,wenzake kina prezo,jaguar hawanaga hizo mambo labda had wafanyiwe interview ila yeye aisee,elimu elimu elimu.