Diamond azindua Pafyum yake ya Chibu, bei yake ni balaa

Hebu acha kupanic kama Bashite.

nimekuuliza swali kutokana na hiyo bidhaa ya mtu mwingine unayosema inafanana exactly na ya Diamond,

swali langu ni, Je kwa maelezo yako Diamond kacopy huu mzigo ndiyomaana unaufananish na huo wa ulaya??

Maisha umeyakosea mwenyewe jamaa usimalize hasira zako kwa waliofanikiwa. Pambana na life yako.
 
Hahahahahahah watu wana hasira na msoto wa maisha yao hasira wanamalizia kwa Chibu. Someni namba watu wanaendelea kunukia nyie mpaka sura zimechacha kwa stress.
 
Nakuja mjini nitakuungisha chibu hongera kwa juhudi kijana hayo sasa ndio mambo achana kabisa na uccm utapotea
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…