Diamond azindua Pafyum yake ya Chibu, bei yake ni balaa

Diamond azindua Pafyum yake ya Chibu, bei yake ni balaa

Kimataifa watu tayari wanaenda na established brands hii biashara ngumu nadhani alitakiwa aende na bidhaa yenye mahitaji ya kila siku kwa jamii na bei rahisi kwa watu wote. Perfume sina uhakika
Naiyona kule lipstick za Kiss zilipo
Elimu Elimu Elimu
Mh Lowassa aliona ombwe kubwa sana katikati ya vichwa vya watanzania

Nina mashaka na haya
-Hakuna market survey and research
-Needs and wants assesment
-Marketing test na consumerizatiom
-Standards grade and brand (Hapa kachemka yeye kiumaarufu anaitwa Diamond plutnumz perfume inaitwa chibu hapo ni ugali na mgonjwa haiwezi kufanya vizuri sokoni na ni ndoto )
-Varieties hapa pia kachemka( kila mtumiaji na preference zake sio wote wanahitaji kitu kimoja(uniformity) kwa wakati mmoja wanawake wanapenda harufu flani wanaume pia kila mteja na kada yake, vijana, watu wa umri wa kati, wafanyakazi wa maofisini n.k
Swali wateja wote watanukia harufu sawa??? )
-accessibility ([emoji38] kaziweka GSM Mall pole kaka Nasibu Watu wote wataenda Gsm Mall kuifuata perfume tu kazi kweli kweli)
-Price sio rafiki kwa watu wote(Japokuwa kuna wateja wa perfume za bei ghali kwa sababu wanaafford au for presitige)

I stand to be corrected
 
AKA Leembebeezzz endelea kumsapoti kijana wetu Diamond Platnamuz,,ww km King of All bongo social nertwek hupaswi kupitwa na hili km kawaida yako na rikod yako ya kumsaport kijana anaye fanya vizur sana hapa bongo na nje ya Tz kwenye burudan ya music
nishakuzoea kwenye event km hiz hukos fast unakuwa umejipatia Chibu perfum
unukie swafi warembo waendelee kumiminika kwako km kawaida
LeeeAkili kubwaazzz...siunakumbuka hata ile waiti pati ulitoaga milion au.magu kabana kila mtu?
 
Njoo nikuweke kinyumba ili uniheshimu. Kaa mbali na hizi level, ndio maana hatuna stress kama nyinyi.
Yaani watu wa type yako ndo mnamfanya diamond achukiwe na watu bila sababu, inaonekana huna ubongo kichwani mwako na inapelekea perfume ionekane ya kibwege kama ulivyo wewe, wewe na ubongo wako wa matope unatumia hiyo perfume usitegemee watu wenye timam kichwani watumie product hiyo.
 
"Chibu" ni kifupisho cha CHIBUKU.
Inamuhusu sokomoko.😀
Tehehehe [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Wabongo nuksi. Nilisemaga fanya fyongo ndio Utajua maneno ya Wabongo yalipohifadhiwa. Ila Mungu anawaona. Huu uzi unaelekea kuwa uzi pacha wa "kama una stress pita hapa"
 
Naiyona kule lipstick za Kiss zilipo
Elimu Elimu Elimu
Mh Lowassa aliona ombwe kubwa sana katikati ya vichwa vya watanzania

Nina mashaka na haya
-Hakuna market survey and research
-Needs and wants assesment
-Marketing test na consumerizatiom
-Standards grade and brand (Hapa kachemka yeye kiumaarufu anaitwa Diamond plutnumz perfume inaitwa chibu hapo ni ugali na mgonjwa haiwezi kufanya vizuri sokoni na ni ndoto )
-Varieties hapa pia kachemka( kila mtumiaji na preference zake sio wote wanahitaji kitu kimoja(uniformity) kwa wakati mmoja wanawake wanapenda harufu flani wanaume pia kila mteja na kada yake, vijana, watu wa umri wa kati, wafanyakazi wa maofisini n.k
Swali wateja wote watanukia harufu sawa??? )
-accessibility ([emoji38] kaziweka GSM Mall pole kaka Nasibu Watu wote wataenda Gsm Mall kuifuata perfume tu kazi kweli kweli)
-Price sio rafiki kwa watu wote(Japokuwa kuna wateja wa perfume za bei ghali kwa sababu wanaafford au for presitige)

I stand to be corrected

Uko sahihi sana na kwanza ishamdodea
 
Yaani watu wa type yako ndo mnamfanya diamond achukiwe na watu bila sababu, inaonekana huna ubongo kichwani mwako na inapelekea perfume ionekane ya kibwege kama ulivyo wewe, wewe na ubongo wako wa matope unatumia hiyo perfume usitegemee watu wenye timam kichwani watumie product hiyo.

[emoji23] [emoji23] [emoji23] anajiita Mr gentleman, anataka kila mtu anukie huo uozo Wa kibongo muvi
 
10c2f772fd768a7eda0cb4a1fa3931d3.jpg


Viwango vya hii perfume ni vya kimataifa.

Ina harufu nzuri inayonukia bila kuumiza .

Inafanana kabisa na Creed level za marashi yake.

Badala ya kuagiza au kununua hizi pafyumu za designers wa nje ni heri tumsapoti ndugu yetu mwekezaji wa ndani.

Kama unaweza pata viwango vya mbele kwenye Chibu perfume kwa bei chee (bei chee kwa wale wadau wa pafyumu za kueleweka) kwa nini ukanunue za nje?

Nawasilisha.
Pafyumu za kueleweka[emoji22]
 
Back
Top Bottom