Diamond azindua Pafyum yake ya Chibu, bei yake ni balaa

Mchina sasa hivi atatoa copy mbili tofauti ya nusu bei na ya robo bei na ni ngumu kudhibiti
 
Dah ila kweli binadamu tunatofautiana, yaani usawa huu nitoe laki eti ninunue pafyumu? Hata buku gwala sitoi, mi babycare inanitosha. Wanaume wa Dar toeni laki mnukie vizuri
 
Nadhani itauzika kimataifa. Hapa ni too expensive. Inawezekana Dai hajaelewa hali halisi ya nchi. All the best to him.
 
Hapo ulipo dodorunt kununua ni shida sembuse hyo pafyum ya chibu

OvA

Ha ha haaaaaa, nafikiri unaandika hivyo ili kunilazimisha kutaka nikununulie, Pita hukoooooo nitawanunulia ninaowajali.
 
Nadhani itauzika kimataifa. Hapa ni too expensive. Inawezekana Dai hajaelewa hali halisi ya nchi. All the best to him.
Kimataifa watu tayari wanaenda na established brands hii biashara ngumu nadhani alitakiwa aende na bidhaa yenye mahitaji ya kila siku kwa jamii na bei rahisi kwa watu wote. Perfume sina uhakika
 
Ha ha haaaaaa, nafikiri unaandika hivyo ili kunilazimisha kutaka nikununulie, Pita hukoooooo nitawanunulia ninaowajali.
Hahahaha sawa swaiba dah nishakuzoeaaa yaani we mbishi sana

Ova
 
Hahahaha sawa swaiba dah nishakuzoeaaa yaani we mbishi sana

Ova

Mmmmh swaiba maana yake nini!?

Ha ha ha haaaaaa eti mbishi oyaaaaaaaaaaa, kupingana ndio ubishi uwiiiiii mbavu zangu mimi
 
Wabongo sio watu Wangekuja kusema hazina ubora ndio maana bei ndogo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…