We kama huwezi nunua kanunue vi kuruthumu vya 2000 buguruni. Watu wananunua pafyum mpaka 500,000 we unahanya na 105,000?Huyu nae sifa zitakuja zimfilisi abakie historia tu.....kipindi shigongo anamdisi kuhusu gharama za show nilimuona kama hater kumbe alikuwa sahihi......toa bidhaa ambayo hata shabiki yako wa kawaida ataimudu....ingekuwa za buku ten au angalau twenty iv tungejichanga.....akanunue mwenyewe na wasafi wenzio.
Price discrimination!!!! Sawa watoto wa tandale kashatukosa...ila asije kulazimisha zile za kwetu tunazo zimuda kama Casablanca ziuzwe nazo laki kama walivyotanya bongo muviiiii....[HASHTAG]#usinipangie[/HASHTAG]Market segmentation wachumi tunaita price discrimination, ukiona unalalamika ujue haujalengwa wewe,wapo wabongo ambao wananunua mpaka perfume za laki 4+,Na bidhaa kama hizi hawaangalii volume of sales wanaangalia revenue generation. That's why kuna Carina Ti na Bentley Continental.
Im neither his fan nor hater ila kwa hili nampongeza.
Bwana weeee, kama huna 105,000 nenda kibandani kanunue COBRA kwa 3,000Huyu nae sifa zitakuja zimfilisi abakie historia tu.....kipindi shigongo anamdisi kuhusu gharama za show nilimuona kama hater kumbe alikuwa sahihi......toa bidhaa ambayo hata shabiki yako wa kawaida ataimudu....ingekuwa za buku ten au angalau twenty iv tungejichanga.....akanunue mwenyewe na wasafi wenzio.
Samahani bi mkubwa naomba kujua tofauti kati ya perfume na eau de toilette.Rahisi sana, itakuwa si perfume hiyo, labda ni eau de toilette.
[emoji16][emoji16][emoji16] Leo Diamond amekuacha mpwekeHuyu nae sifa zitakuja zimfilisi abakie historia tu.....kipindi shigongo anamdisi kuhusu gharama za show nilimuona kama hater kumbe alikuwa sahihi......toa bidhaa ambayo hata shabiki yako wa kawaida ataimudu....ingekuwa za buku ten au angalau twenty iv tungejichanga.....akanunue mwenyewe na wasafi wenzio.
Jamani...kwani mmeambiwa mashabiki zake wote ni watu wa maisha ya chini???! Kwanini mnataka kumpangia bei wakati hajui amegharamia kiasi gani kwenye uandaaji na matangazo??! Besides, wapo watu ambao wanajichangaga na kununua perfume mpaka za laki 3-4 nyie mnalalamikia laki moja?!Ubunifu bila plan ni upuuzi unazindua perfume unauza 105,000/=what is your target, inaamaana unafanya jambo bila kutazama nani unaekwenda kummuzia,mtanzania shabiki wa Diamond ana uwezo wa hiyo hela.
shosti wewe ni mnafiki hadi basi . ahaaaa jamani nimekuvulia nguo
[emoji3] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Unapakaje perfume. Si kwa kupulizia? Sasa wewe una perfume, chupa, mwenzio ana mtoko. Anataka kupuliza makwapa 2. Upande na upande. Si utampulizia mara mbili? Sasa kama kila kwapa ni shs 500. Atakupa shs 1000 kwa makwapa yote mawili.
Kuna kitu nimejifunza hapa, nilikuwa sikijui. Thanks.Rahisi sana, itakuwa si perfume hiyo, labda ni eau de toilette.
Sisi wa Tandale na Tandika ni ghali bibie, angefanya elfu 10 tu [emoji1] [emoji1] [emoji1]Rahisi sana, itakuwa si perfume hiyo, labda ni eau de toilette.
Big up sana.Hivi ile clothing line yake aliyoanzisha ya WCB inafanyaje sokoni?
Kama ile ameshindwa hivi kweli perfume nani atanunua kwa hiyo bei? Exposure yote aliyonayo pamoja na kwenda ulaya kila siku bado hajui apart from mziki nini kitampatia pesa matokeo yake yeye kila siku kujaribu jaribu tu mambo.. Mara App sijui ya kuuza mziki, huko hajafanikiwa karukia perfume..
Diamond una jina kubwa sana, clothing line sijui maperfume havijawahi kumtoa msanii yeyote mkubwa hata huko duniani. Tafuta biashara ambayo inagusa matumizi ya watu ya siku kwa siku.. Angalia biashara wanazofanya akina Mo na Bakhressa.. Ushauri tu ebu jaribu hata kutengeneza kinywaji chako, iwe Juice au Soda kama za Azam au Mo hapo utatoboa mara moja maana mashabiki wako wengi ni wanafunzi na watoto wa uswazi ambao hawana kipato kikubwa ukilinganisha na hizo bei unazoweka kwenye bidhaa zako.. Na hata biashara ya Juice mteja mmoja anaweza akawa anakunywa Juice yako angalau mara tatu kwa wiki lakini hizo Perfume na nguo anaweza purchase once in a lifetime.. Akina Pdidy na 50 Cent wao wanatajirikia kwenye liquor sasa wewe si mnywaji basi fanya hata Juice hizo au hata Non-Alcoholic drinks..
Demu wako Wema alikuja na biashara gani sijui lakini pamoja na mvuto wake kwa mashabiki wake alifeli, kuwa tofauti usifate mkumbo na usifanye biashara za sifa (kwamba perfume yangu inauzwa ghali).. Hujafikia level za kutengeneza prestigious products maana mashabiki wako ni watu wa hali ya chini..
Kwani perfume imeandikwa NASSIB ABDUL?Yake au wametumia jina lake?
Safi nimeipenda hii tena angefanya hata laki 3 kabisaDiamond amezindua rasmi pafyumu yake ya Chibu, itauzwa kwa bei ya 105,000 bei ya rejareja ameomba sapoti kwani anatoa ajirakwa vijana
Zitapatikana GSM Mall, Mlimani City, pia zitakuwa zikipatikana kwenye ndege