Diamond azindua Pafyum yake ya Chibu, bei yake ni balaa

Diamond azindua Pafyum yake ya Chibu, bei yake ni balaa

Angelenga bei ya kila mmoja kumudu ingekuwa poa sana..!
 
Cjaweza endelea kusikilza hadi mwisho, naona siyo level zangu hizo....laki na elfu tano????? Utawauzia vibosireeee tuu.I wish ningekuwa consultant wako ktk hili ...
Muda utaongeo tuuu
 
Huyu nae sifa zitakuja zimfilisi abakie historia tu.....kipindi shigongo anamdisi kuhusu gharama za show nilimuona kama hater kumbe alikuwa sahihi......toa bidhaa ambayo hata shabiki yako wa kawaida ataimudu....ingekuwa za buku ten au angalau twenty iv tungejichanga.....akanunue mwenyewe na wasafi wenzio.
Wewe unajua biashara , lakini kwa ambao wanapokea mishahara tu hawatajali na hawaangalii kwa jicho la tatu..# kama amejipanga kucompete mamtoni sawa lakin siyo third world countries...
Time will tell...
 
Unapakaje perfume. Si kwa kupulizia? Sasa wewe una perfume, chupa, mwenzio ana mtoko. Anataka kupuliza makwapa 2. Upande na upande. Si utampulizia mara mbili? Sasa kama kila kwapa ni shs 500. Atakupa shs 1000 kwa makwapa yote mawili.
Congo hatari umenifanya nicheke pekeyangu kama mwehu
 
Hiyo pafyum ingekuwa brand ya mkewe sawa ila yeye mh
 
Jina chibu sawa copy ya nani ndio tunataka kujua tusije ota mijipu isiyojulikana asili yake au kubabuka ngozi pasina kuwashwa kiberiti!
 
Angetengeneza deodorant tu hata wapaka parfume hununua kwaajili ya kukata jasho
 
perfume laki na ushee ndo kwnza watu awaijui ata sifa zake, unaanzaje kuintroduce kitu cha gharama kias icho bila kuelewa soko kubwa la wanunuzi ni rika lipi na watu wa aina gani

majority ya watu awana pesa kama hiyo kuchana misimbaz kumi kisa perfume, tena ndo ata aijaanza kusifika

uyu jamaa akahudhurie kozi ya commerce, ajui target market uyu
 
Safi vijana tukiwa wabunifu kwa nyanja mbalimbali tutafika
Ubunifu bila plan ni upuuzi unazindua perfume unauza 105,000/=what is your target, inaamaana unafanya jambo bila kutazama nani unaekwenda kummuzia,mtanzania shabiki wa Diamond ana uwezo wa hiyo hela.
 
Back
Top Bottom