mzurimie kama sio unafik una kusumbua na upambe wa kishamba... kipindi dai yupo na Wema basi ulichekelea alafu ulivyo unafuata mkumbo alivyoachana na Wema akaenda kwa Penny bado ukachekelea na kumsifu penny... akarudisha makazi Kwa Wema Dai akiwa kwenye shoo akisema nimpende nani wew na mdomo wako kama kasuku ndo wa kwanza kusema Wemaaaaaaaaaaa.....alivyohamia kwa Zari na wew ukahamisha makazi eti kisa una mpenda dai kwa iyo kila kitu anachofanya kipo sawa???? Eti party ya kumtambulisha Zari... heheheheeeee wew kama unafikiria kawatambulisha wangapi na kuwavalisha wangapi pete za uchumba tena za gharama mpaka ilo tukio la 1st may ulione la maana...
Na ulivyo mfuata mkumbo Dai akirudi kwa wema na wewe utarudi.....
Acha ushamba kuwa na misimamo mtoto wa kike acha kufuata mikumbo ya kijinga nyweeeeeeeee......
Mimi simchukii Daimond ila mambo yake siyapendi na mimi nina misimamo mtu akishatambulisha mchumba wake akija kubadilisha ndo basi tena sim suport kweny izo personal issue zake.....ila kimziki namkubal.....sawa bibie acha unafiki na badilika usiwe bendera fuata upepo.....