Diamond dhidi ya TRA tuko naye, ila kauli zake!

Diamond dhidi ya TRA tuko naye, ila kauli zake!

brazaj

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2016
Posts
31,698
Reaction score
41,733
TRA kama ilivyo kwa Polisi, LATRA, Takukuru, EWURA, TCRA na wengine wa namna hiyo malamiko dhidi yao yanajulikana.

Hakuwahi kusikia malalamiko ya watu wengine dhidi ya mamlaka hizi ikiwamo TRA?

Haihitaji kumiliki basi kujua ndivyo sivyo za LATRA, au kuwa na gari au kituo cha mafuta kujua fyongo za EWURA.

"Nani wamekuwa na uthubutu wa kuwaongelea wahanga wa mamlaka hizi bila kujali kulipiziwa visasi? Hii ikiwa hata bila ya wao kuwa wameguswa moja kwa moja? Wengine ninyi si imekuwa kusema hadi mkaliwe kooni wenyewe tu?"

IMG_20230101_074705_168.jpg


"Ubinafsi wenu si ndiyo unaowapa nguvu miungu watu hawa waliopaswa kukusikiliza wewe na badala yake wapo kukunywesha maji kwenye karai?"



Kwani yeye alidhani kelele za wapinzani siku zote zilikuwa kuhusiana na nini kumbe? Kwani hakujua kwanini tulishangaa na wimbo wake "baba letu?"

Tofauti yao na yeye kwenye hili analoliongea sasa si ni kuwa leo yeye ameguswa tu? Wenzake kwao sera zote za kigandamizi ni mwiba usiovumikika hata kama wao haziwagusi moja kwa moja.

Na huu sasa si ndiyo uzalendo?

Kataa wahuni kwa Tanzania ya haki.

Wahuni siyo watu wazuri!
----------

Mamlaka zinapotumika kukandamiza watu
 
Diamond ana maana gani kusema anajiuliza kama pale TRA kuna mtu wa chama pinzani?

Kwamba kwake wapinzani ndio wenye roho mbaya?

Kwa hiyo kauli yake, huyu mtu hata kama yanamkuta lakini ni kama bado ana mentality ya kujipendekeza kwa CCM, ameleta suala lake public ili kutafuta huruma tu kwa watanzania.
 
Diamond ana maana gani kusema anajiuliza kama pale TRA kuna mtu wa chama pinzani?

Kwamba kwake wapinzani ndio wenye roho mbaya?

Kwa hiyo kauli yake, huyu mtu hata kama yanamkuta lakini ni kama bado ana mentality ya kujipendekeza kwa CCM, ameleta suala lake public ili kutafuta huruma tu kwa watanzania.

Tatizo la watanzania wengi ni elimu. Kumbuka elimu haipatikani shule tu. Ukikosa elimu umekosa kujitambua.

Huyu bwana kama walivyo wengine kujitambua zero. Ndiyo maana pamoja na dhuluma zao hadharani wanasema wataendelea kutawala miaka 100.
 
Diamond ana maana gani kusema anajiuliza kama pale TRA kuna mtu wa chama pinzani?

Kwamba kwake wapinzani ndio wenye roho mbaya?

Kwa hiyo kauli yake, huyu mtu hata kama yanamkuta lakini ni kama bado ana mentality ya kujipendekeza kwa CCM, ameleta suala lake public ili kutafuta huruma tu kwa watanzania.
Watawala wakiona mambo hayaendi au hawana la maana walilolifanya au wakiona maisha magumu huwatafuta hawa kina diamond kupumbuza wananchi na kuwasahaulisha matatatizo waliyonayo. Juzi tu hapa alikuja znz kukata viuno kwa mualiko wa Mwinyi.

Sasa na wao kina diamond kwa kua ni part of conspiracy, wanajiona wana immune ya kutokufuata sheria na kua watawala watawalinda wakisahau kua watawala hawana urafiki wa kudumu.
 
Watawala wakiona mambo hayaendi au hawana la maana walilolifanya au wakiona maisha magumu huwatafuta hawa kina diamond kupumbuza wananchi na kuwasahaulisha matatatizo waliyonayo. Juzi tu hapa alikuja znz kukata viuno kwa mualiko wa Mwinyi.

Sasa na wao kina diamond kwa kua ni part of conspiracy, wanajiona wana immune ya kutokufuata sheria na kua watawala watawalinda wakisahau kua watawala hawana urafiki wa kudumu.

Sheitwani hana rafiki
 
TRA kama ilivyo kwa Polisi, LATRA, Takukuru, EWURA, TCRA na wengine wa namna hiyo malamiko dhidi yao yanajulikana.

Hakuwahi kusikia malalamiko ya watu wengine dhidi ya mamlaka hizi ikiwamo TRA?

Haihitaji kumiliki basi kujua ndivyo sivyo za LATRA, au kuwa na gari au kituo cha mafuta kujua fyongo za EWURA.

"Nani wamekuwa na uthubutu wa kuwaongelea wahanga wa mamlaka hizi bila kujali kulipiziwa visasi? Hii ikiwa hata bila ya wao kuwa wameguswa moja kwa moja? Wengine ninyi si imekuwa kusema hadi mkaliwe kooni wenyewe tu?"

View attachment 2465114

"Ubinafsi wenu si ndiyo unaowapa nguvu miungu watu hawa waliopaswa kukusikiliza wewe na badala yake wapo kukunywesha maji kwenye karai?"

Kwani yeye alidhani kelele za wapinzani siku zote zilikuwa kuhusiana na nini kumbe? Kwani hakujua kwanini tulishangaa na wimbo wake "baba letu?"

Tofauti yao na yeye kwenye hili analoliongea sasa si ni kuwa leo yeye ameguswa tu? Wenzake kwao sera zote za kigandamizi ni mwiba usiovumikika hata kama wao haziwagusi moja kwa moja.

Na huu sasa si ndiyo uzalendo?

Kataa wahuni kwa Tanzania ya haki.

Wahuni siyo watu wazuri!
----------

Mamlaka zinapotumika kukandamiza watu

Mjinga Sana huyo, afungiwe akaunti lawama awapelekee upinzani.
 
TRA kama ilivyo kwa Polisi, LATRA, Takukuru, EWURA, TCRA na wengine wa namna hiyo malamiko dhidi yao yanajulikana.

Hakuwahi kusikia malalamiko ya watu wengine dhidi ya mamlaka hizi ikiwamo TRA?

Haihitaji kumiliki basi kujua ndivyo sivyo za LATRA, au kuwa na gari au kituo cha mafuta kujua fyongo za EWURA.

"Nani wamekuwa na uthubutu wa kuwaongelea wahanga wa mamlaka hizi bila kujali kulipiziwa visasi? Hii ikiwa hata bila ya wao kuwa wameguswa moja kwa moja? Wengine ninyi si imekuwa kusema hadi mkaliwe kooni wenyewe tu?"

View attachment 2465114

"Ubinafsi wenu si ndiyo unaowapa nguvu miungu watu hawa waliopaswa kukusikiliza wewe na badala yake wapo kukunywesha maji kwenye karai?"

Kwani yeye alidhani kelele za wapinzani siku zote zilikuwa kuhusiana na nini kumbe? Kwani hakujua kwanini tulishangaa na wimbo wake "baba letu?"

Tofauti yao na yeye kwenye hili analoliongea sasa si ni kuwa leo yeye ameguswa tu? Wenzake kwao sera zote za kigandamizi ni mwiba usiovumikika hata kama wao haziwagusi moja kwa moja.

Na huu sasa si ndiyo uzalendo?

Kataa wahuni kwa Tanzania ya haki.

Wahuni siyo watu wazuri!
----------

Mamlaka zinapotumika kukandamiza watu
Kauli za mondi eti Upinzani🤣🤣🤣🤣
 
Watawala wakiona mambo hayaendi au hawana la maana walilolifanya au wakiona maisha magumu huwatafuta hawa kina diamond kupumbuza wananchi na kuwasahaulisha matatatizo waliyonayo. Juzi tu hapa alikuja znz kukata viuno kwa mualiko wa Mwinyi.

Sasa na wao kina diamond kwa kua ni part of conspiracy, wanajiona wana immune ya kutokufuata sheria na kua watawala watawalinda wakisahau kua watawala hawana urafiki wa kudumu.
Ha hicho ndio kinamshangaza Diamond anabaniwa vipi? Au TRA kuna wanachadema?🤣🤣🤣
 
Diamond ana maana gani kusema anajiuliza kama pale TRA kuna mtu wa chama pinzani?

Kwamba kwake wapinzani ndio wenye roho mbaya?

Kwa hiyo kauli yake, huyu mtu hata kama yanamkuta lakini ni kama bado ana mentality ya kujipendekeza kwa CCM, ameleta suala lake public ili kutafuta huruma tu kwa watanzania.
Imejulikana kumbe alikuwa halipi kodi kutokana na kuitumikia ccm.
 
Diamond ana maana gani kusema anajiuliza kama pale TRA kuna mtu wa chama pinzani?

Kwamba kwake wapinzani ndio wenye roho mbaya?

Kwa hiyo kauli yake, huyu mtu hata kama yanamkuta lakini ni kama bado ana mentality ya kujipendekeza kwa CCM, ameleta suala lake public ili kutafuta huruma tu kwa watanzania.
Huyo jamaa ni mpumbavu sana hana akili tena hao TRA wamshughulikie mpaka akili zimrudi ndo atajua kwanin chadema wanapigania katiba mpya mjinga huyo
 
Jifunzeni kupambana vita kwenye maisha kwa mikakati yenu.

Uwe individual au taasisi kufikia malengo yako ni jukumu lako.

Usilazimishe wengine wapambane kwa kufuata strategy yako.

In life mnaweza mkawa na objective moja lakini mkapishana kufikia lengo, its OK.

Nakumbuka wakati wa Brexit wanasiasa wa mainstream parties both pro and anti Brexit (Labour, Conservatives na Lib-Dem) waliungana kwenye campaign zao.

Lakini hizo team mbili za mainstream parties hawakutaka kabisa wanasiasa wa vyama vingine au taasisi zingine zenye objectives hizo hizo; ambazo wanatumia racist propaganda au nationalism idologies kuungana nao waliwaacha wapambane kivyao.

CHADEMA na viongozi wake lazima waelewe ni utoto kulazimisha watu wasio wanasiasa ku support movement zao hadharani. Jukumu lao ni kushawishi wachague wanachopigania wakipata nafasi ya kuwapigia kura, lakini uwezi kulaumu raia wakipata shida mbona ukuunga mkono jitihada za chama kwenye agenda husika acha yakukute huo ni utoto.
 
TRA kama ilivyo kwa Polisi, LATRA, Takukuru, EWURA, TCRA na wengine wa namna hiyo malamiko dhidi yao yanajulikana.

Hakuwahi kusikia malalamiko ya watu wengine dhidi ya mamlaka hizi ikiwamo TRA?

Haihitaji kumiliki basi kujua ndivyo sivyo za LATRA, au kuwa na gari au kituo cha mafuta kujua fyongo za EWURA.

"Nani wamekuwa na uthubutu wa kuwaongelea wahanga wa mamlaka hizi bila kujali kulipiziwa visasi? Hii ikiwa hata bila ya wao kuwa wameguswa moja kwa moja? Wengine ninyi si imekuwa kusema hadi mkaliwe kooni wenyewe tu?"

View attachment 2465114

"Ubinafsi wenu si ndiyo unaowapa nguvu miungu watu hawa waliopaswa kukusikiliza wewe na badala yake wapo kukunywesha maji kwenye karai?"

Kwani yeye alidhani kelele za wapinzani siku zote zilikuwa kuhusiana na nini kumbe? Kwani hakujua kwanini tulishangaa na wimbo wake "baba letu?"

Tofauti yao na yeye kwenye hili analoliongea sasa si ni kuwa leo yeye ameguswa tu? Wenzake kwao sera zote za kigandamizi ni mwiba usiovumikika hata kama wao haziwagusi moja kwa moja.

Na huu sasa si ndiyo uzalendo?

Kataa wahuni kwa Tanzania ya haki.

Wahuni siyo watu wazuri!
----------

Mamlaka zinapotumika kukandamiza watu
Huu ni ujinga na kutaka sifa za bure- yaani malalamiko ya hatua za kijinga zinazofanywa na taasisi za srikali yameanzishwa na upinzani?! Mbona miaka yote watu wanaoguswa wanalalamika. Wakati wa kipindi cha mikingamo tena kikikrusha na RTD Sugu alikuwepo? Hata hiyo CHADEMA ilikuwepo?
 
Back
Top Bottom