TRA kama ilivyo kwa Polisi, LATRA, Takukuru, EWURA, TCRA na wengine wa namna hiyo malamiko dhidi yao yanajulikana.
Hakuwahi kusikia malalamiko ya watu wengine dhidi ya mamlaka hizi ikiwamo TRA?
Haihitaji kumiliki basi kujua ndivyo sivyo za LATRA, au kuwa na gari au kituo cha mafuta kujua fyongo za EWURA.
"Nani wamekuwa na uthubutu wa kuwaongelea wahanga wa mamlaka hizi bila kujali kulipiziwa visasi? Hii ikiwa hata bila ya wao kuwa wameguswa moja kwa moja? Wengine ninyi si imekuwa kusema hadi mkaliwe kooni wenyewe tu?"
"Ubinafsi wenu si ndiyo unaowapa nguvu miungu watu hawa waliopaswa kukusikiliza wewe na badala yake wapo kukunywesha maji kwenye karai?"
Kwani yeye alidhani kelele za wapinzani siku zote zilikuwa kuhusiana na nini kumbe? Kwani hakujua kwanini tulishangaa na wimbo wake "baba letu?"
Tofauti yao na yeye kwenye hili analoliongea sasa si ni kuwa leo yeye ameguswa tu? Wenzake kwao sera zote za kigandamizi ni mwiba usiovumikika hata kama wao haziwagusi moja kwa moja.
Na huu sasa si ndiyo uzalendo?
Kataa wahuni kwa Tanzania ya haki.
Wahuni siyo watu wazuri!
----------
Mamlaka zinapotumika kukandamiza watu
Hakuwahi kusikia malalamiko ya watu wengine dhidi ya mamlaka hizi ikiwamo TRA?
Haihitaji kumiliki basi kujua ndivyo sivyo za LATRA, au kuwa na gari au kituo cha mafuta kujua fyongo za EWURA.
"Nani wamekuwa na uthubutu wa kuwaongelea wahanga wa mamlaka hizi bila kujali kulipiziwa visasi? Hii ikiwa hata bila ya wao kuwa wameguswa moja kwa moja? Wengine ninyi si imekuwa kusema hadi mkaliwe kooni wenyewe tu?"
"Ubinafsi wenu si ndiyo unaowapa nguvu miungu watu hawa waliopaswa kukusikiliza wewe na badala yake wapo kukunywesha maji kwenye karai?"
Kwani yeye alidhani kelele za wapinzani siku zote zilikuwa kuhusiana na nini kumbe? Kwani hakujua kwanini tulishangaa na wimbo wake "baba letu?"
Tofauti yao na yeye kwenye hili analoliongea sasa si ni kuwa leo yeye ameguswa tu? Wenzake kwao sera zote za kigandamizi ni mwiba usiovumikika hata kama wao haziwagusi moja kwa moja.
Na huu sasa si ndiyo uzalendo?
Kataa wahuni kwa Tanzania ya haki.
Wahuni siyo watu wazuri!
----------
Mamlaka zinapotumika kukandamiza watu