Diamond dhidi ya TRA tuko naye, ila kauli zake!

Diamond dhidi ya TRA tuko naye, ila kauli zake!

Watawala wakiona mambo hayaendi au hawana la maana walilolifanya au wakiona maisha magumu huwatafuta hawa kina diamond kupumbuza wananchi na kuwasahaulisha matatatizo waliyonayo. Juzi tu hapa alikuja znz kukata viuno kwa mualiko wa Mwinyi.

Sasa na wao kina diamond kwa kua ni part of conspiracy, wanajiona wana immune ya kutokufuata sheria na kua watawala watawalinda wakisahau kua watawala hawana urafiki wa kudumu.
Kila anayefanya uovu au anayeshirikiana na muovu au kuushiriki uovu, ni lazima, na ni haki kwake kuguswa kwa kiasi fulani na uovu alioshiriki kuusimika.

Wasanii kama Diamond, wanatumika na watawala/CCM kuwapumbaza wananchi badala ya kuwaelimisha.

Haya ni madogo, kuna siku atalipua zaidi ya haya malalamiko juu ya jambo dogo. Analalamikia kufungiwa bank account, na kuvamiwa kwa kituo chake. Wenzie zilifungiwa bank accounts zao, wakafungwa na wao wenyewe, na kesi za uhujumu uchumi juu yake.

Uovu ni imani isiyochagua wa kumtendea uovu. Amwulize Zakaria, aliyekuwa mfadhili mkubwa CCM kanda ya Ziwa, alilipa posho za wajumbe wa mkutano mkuu, alitoa mabasi yake kuhudumia kampeni, lakini mwisho wake, mke wake na yeye mwenyewe waliishia mahabusu kwa mwaka mzima, na pesa kutaifishwa. Uovu ni imani isiyochagua wa kumtendea uovu, na uovu kwa aliyesaidia kuusimika, ni haki na halali kwake.
 
Diamond ana maana gani kusema anajiuliza kama pale TRA kuna mtu wa chama pinzani?

Kwamba kwake wapinzani ndio wenye roho mbaya?

Kwa hiyo kauli yake, huyu mtu hata kama yanamkuta lakini ni kama bado ana mentality ya kujipendekeza kwa CCM, ameleta suala lake public ili kutafuta huruma tu kwa watanzania.
Hiyo sio kauli ya diamond. Kwani hukuona ile kauli yake ya mwanzo.?
 
Kila anayefanya uovu au anayeshirikiana na muovu au kuushiriki uovu, ni lazima, na ni haki kwake kuguswa kwa kiasi fulani na uovu alioshiriki kuusimika...
CHADEMA CHADEMA
 
Tatizo la watanzania wengi ni elimu. Kumbuka elimu haipatikani shule tu. Ukikosa elimu umekosa kujitambua.

Huyu bwana kama walivyo wengine kujitambua zero. Ndiyo maana pamoja na dhuluma zao hadharani wanasema wataendelea kutawala miaka 100.
Huyo jamaa unayemuongelea, ana watu wahusika za kila nyanja yeye ni mtoa kauli tu. Hivo kuna shida.
 
Diamond aliiamimi upendeleo wa kutolipa kodi aliopewa kutokana na yeye kutumika kuwapumbaza Watanzania kupitia fani yake ya muziki, ungeendelea milele?

TRA wafuatilie kodi zote ambazo hazikulipwa, ikiwa ni pamoja na za miaka ya nyuma ambapo alikuwa halipi.
 
Diamond aliiamimi upendeleo wa kutolipa kodi aliopewa kutokana na yeye kutumika kuwapumbaza Watanzania kupitia fani yake ya muziki, ungeendelea milele?

TRA wafuatilie kodi zote ambazo hazikulipwa, ikiwa ni pamoja na za miaka ya nyuma ambapo alikuwa halipi.
Ndiyo maana kawambia pale TRA kuna wapinzani; na kwamba sababu za yeye kufutwa ni kwa sababu aliinga mkono CCM. Hivyo wapinzani wanamchukia, na mawakala wao kwenye serikali wanatumia nafasi zao kumkomoa. Tunajua TRA wamejaa wachagga ambao wengi ni CHADEMA NA WANAFANYA HIVYO KWA KIBURI KABISA KWA KAULI MBIU- MLIICHAGUA CCM NGOJA MUONE
 
Diamond ana maana gani kusema anajiuliza kama pale TRA kuna mtu wa chama pinzani?

Kwamba kwake wapinzani ndio wenye roho mbaya?

Kwa hiyo kauli yake, huyu mtu hata kama yanamkuta lakini ni kama bado ana mentality ya kujipendekeza kwa CCM, ameleta suala lake public ili kutafuta huruma tu kwa watanzania.
Namkumbuka Mheshimiwa Lowasa alikua anapenda kuiga kauli ya Waziri Mkuu Mwenzake wa Zamani UK...Tony Blair "EDUCATION, EDUCATION, EDUCATION"
 
Diamond aliiamimi upendeleo wa kutolipa kodi aliopewa kutokana na yeye kutumika kuwapumbaza Watanzania kupitia fani yake ya muziki, ungeendelea milele?

TRA wafuatilie kodi zote ambazo hazikulipwa, ikiwa ni pamoja na za miaka ya nyuma ambapo alikuwa halipi.
Wakifanya hivyo anaweza ata kuikana Escalade/Rolls Royce yake na kukiri kwamba ni Musso iliyovalishwa Ganda la Escalade 😂😂😂
 
Diamond ana maana gani kusema anajiuliza kama pale TRA kuna mtu wa chama pinzani?

Kwamba kwake wapinzani ndio wenye roho mbaya?

Kwa hiyo kauli yake, huyu mtu hata kama yanamkuta lakini ni kama bado ana mentality ya kujipendekeza kwa CCM, ameleta suala lake public ili kutafuta huruma tu kwa watanzania.
Anajikomba tu ccm
Huyu jama f kabisa

Ova
 
CHADEMA na viongozi wake lazima waelewe ni utoto kulazimisha watu wasio wanasiasa ku support movement zao hadharani.
Huna hoja unachanganya mambo. Yeye anajitambulisha kama mwana ccm sasa chadema wakimsema mpinzani wao kosa liko wapi? Ona anavyoisigina TRA eti kuna wapinzani?

Mambo ya hovyo ni ya kupingwa na kila mtanzania bila kujali vyama.

Kuna mamilioni ya watanzania wanaccn waliokuwa hamkubali magufuli kutokana na matendo yake na wakati huo huo ni wanaccm
Sasa sijui unaleta hoja gani hapa.
 
Huu ni ujinga na kutaka sifa za bure- yaani malalamiko ya hatua za kijinga zinazofanywa na taasisi za srikali yameanzishwa na upinzani?! Mbona miaka yote watu wanaoguswa wanalalamika. Wakati wa kipindi cha mikingamo tena kikikrusha na RTD Sugu alikuwepo? Hata hiyo CHADEMA ilikuwepo?
Diamond kachanganganyikiwa🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom