- Thread starter
- #61
ulichokoment utoto ni wewe maana hujui chadema wameegemea mlengo gan haya tueleze huyo domo mkwepa kodi anamalengo yapi kuhusu katiba mpya ili kuleta justice and tranquility nchini maana umetolea mfano wa mainstream parties za uingereza visa viz other political or associations ambao kwa pamoja walitaka brexit ila katika modalities tofauti na kwamba labour,conservatives hawakutaka waungane nao swali ni Je huyo mkwepa kodi amewahi kupigania agenda ya katiba mpya ambayo kimsingi ndio itaondoa ujinga wote unaofanywa na mamlaka za serikali eg latra,police,tmda,tcra,nec,TRA na taasisi zingine zenye kufanya ujinga.
Leo hii huyo mkwepa kodi analalamika kufungiwa account zake na TRA huku akijua TRA wamefanya hivyo kwa mujibu wa sheria ambazo ni za hovyo au mbovu pamoja na katiba ya hovyo, unafikir kama kungewa na katiba bora huo ujinga wa TRA wa kufunga account za watu bila wao kujua ungefanyika? Maana angeweza kuwashtaki mahakaman na angewashinda lakin leo ajaribu kama atafanikiws huko mahakaman hii yote ni kwasababu ya katiba ya hovyo so chadema hawapiganii maslahi binafs bali maslahi ya kila mtanzania, huyo mkwepa kodi wamemtekenya kidogo tu ameanza kujambajamba angepigwa risasi hata moja je si angekufa kabisa.
Haya amefungiwa account zake na TRA kwa akili zake za kijinga anaandika kuwa ANAFANYIWA HIVYO KAMA PALE TRA KUNAWAPINZANI hizo ni akili au matope anafikir kuwepo kwake ccm anaimmunity au privilege kwenye kulipa kodi.
Na wewe kwa ujinga wako unafikir huyo mkwepa kodi anaprivilege ya kutokulipa kodi, nasema hivi TRA wahakikishe analipa kodi na waendelee kufunga viaccount vyake uchwara mpaka ajue kuwa KATIBA MPYA NI SASA NA YEYOTE ATAKAE PINGA NI BORA EITHER ATOWEKE AMA AUNGANE maana asipofanya hivyo lolote litakalomkuta kutokana na katiba mbovu asilalamikie mitandaoni ili kutafta huruma bali apambane mwenyewe.
Mkuu siasa hazipaswi kuchukuliwa personal. Ni muhimu kutenganisha watu na siasa. Hapa ndipo ule msemo "hakuna rafiki au adui wa kudumu bali agenda" huigia kazini.
Diamond kutendewa ndivyo sivyo si haki ila sasa haya anayosema ndipo ulipo utoto wake ulipo.
Au nasema uongo?